Tayari umeshajulikana na Uongozi umeita Wazee Kusoma Kitabu kwa Wachezaji wote Wazawa Washirikina ( wale wale ) wa kutoka Zanzibar waliosoma Kitabu Kipindi kile cha Simba Taliban ( waliokuwa Maadui ) wa Mafanikio ya Klabu ( Simba SC ) na hatimaye akina Ngumi Jiwe Wakafa kwa Ajali Mbaya njiani Mkoani Singida.
Haraka sana nenda kwa huyo Mganga wako wa Kienyeji Milimani Morogoro ulikopelekwa na Kipa Mzawa Mgonjwa ukaichukue kisha kawape Wazee wa Simba SC, Waombe Radhi na Wao watakusaidia Kulimaliza hili na hata Kijana wa Watu Aubin Kramo atakusamehe na nyote mtaendelea Kukipiga Klabuni na kuipa Timu Mafanikio.
GENTAMYCINE nimeamua Kukuonya mapema kwakuwa nawajua hao Wazee wa Kusoma Kitabu ( hasa Dua Kali ) kutokea huko Visiwani Zanzibar walivyo na huwa hawatanii na sitaki kukuona ama Unakufa au unapatwa na Balaa Kubwa.
Na Dogo nae ( Aubin Kramo ) muda Wowote anaruhusiwa kwenda Kwao nchini Ivory Coast hivyo angalia nae asiende Kukulipizia huku Akijiganga vyema na Wewe Mabalaa kuanza Kukuandama kama Mchezaji wa Yanga SC mwenye Kipaji kikubwa Stephane Aziz K nae alipoumizwa Kiushirikina na aliyetetewa na Mama ( Mzanzibari wa Mbagala ) kujikuta kila mara tu anaumia Goti, anakosa Magoli na Haeleweki na aliporejea tu Kwao nchini Burkina Faso huku Tanzania mbaya wake Mkuu nae akaanza Kuchanganyikiwa na kudai huwa anakula Ugali, Tembele na Sukari na kwamba ana Maisha magunu Klabuni.
Mimi nikuanbie,
Simba na Yanga Zina Uchawi nje ya uwanja,
Ila ndani ya uwanja simba wanakogana badala ya Kucheza Mpira,
na Uongozi unelogwa ndio maana hauna nguvu ya Kukemea na Kufunga haya mambo!
Wenzetu yangu wachezaji hakuna Kulogana,
Simba wanaologa wanafahamika na wanaigopewa na Viongozi,labda nao wanawapa Ulozi!
Wachezaji wazuri wengi wakoja simba hawachezi wanaumwa tuu![emoji31]
Uchawi kwa wa hezaji simba unatisha mnooo,
Nenda yanga niambie nani analoga wenzie,Hakuna kila mtu na kipaji chake,
na Hata huyu alietoka simba aliepo yanga,Mmkude kule kamwe hatiweza kumloga mtu!
akijaribi tuu mapema wanamuondoa,
kuna wazee Yanga Kazi yao kuangalia mchezaji gani anafanya nini nje ya uwanja,
wakimjua tuu,Taarifa zinafika uongozi anatemwa.
Sisi simba tumekalia kulogana na kuwapa Ulozi viongozi ili wafumbie macho ili waendelee kubaki madarakani.