Wewe Mchezaji Mzawa wa Simba SC uliyeiba 'Soksi' ya Mchezaji Aubin Kramo ili 'Ukamroge' mrudishie haraka sana

Hes 23:23

Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
 
Kumsoma, Kumfuatilia na Kuburudika na Fundi / Mtaalam wa Habari za Ndani na Ngumu GENTAMYCINE.

Asante Mwenyezi Mungu kwa Baraka.
100% mimi hua sio fan wa huzi stori zako za ulozi to be fair.
Ila kwenye swala la Kujiamini na kujipamba I'm your biggest Number 1 Fan Mkuu😅😅

Mi nasomaga uzi ila nikikosa Majigambo yako pale mwishoni napita shwaaaa😅😅
 
Ndio maana Mimi sishabikii mpira.
Kushabikia mpira Bongo ni sawa kushabikia timu ya wachawi
 
Jina : Genitamycine.

Kuzaliwa : mwaka 1982.
Mahali: bunda vijijini.

Achievement: followers 102 at Jamii Forums.

N.b: mods futeni habari za uzushi kama hizi. Watu wanasikia story kwenye kijiwe cha mshona viatu huko kwao vijijini then wanazibeba kama taarifa rasmi na kuzipublish hapa jf. Wanashusha hadhi ya jf
 
Kwa hiyo timu ni nzima ni ya kishirikina (Bush Stars?).
Maana soksi imepotea timu na uongozi wote wakastuka sana. Uongozi ukaja na suluhu ya kulitatua kishirikina, wameitwa washirikina ili kuja 'kusoma kitabu'.
Pia miaka ya nyuma walifanikiwa kuwaua wenzao kishirikina baada ya kuwatuhumu kuwa wanaisaliti club😳.
Washirikina Sports Club (WSC) or Bush Stars.

Njoo useme 'Rubbish' uone.
 
Unamsemea ngoma
 

Mimi nikuanbie,
Simba na Yanga Zina Uchawi nje ya uwanja,
Ila ndani ya uwanja simba wanakogana badala ya Kucheza Mpira,
na Uongozi unelogwa ndio maana hauna nguvu ya Kukemea na Kufunga haya mambo!
Wenzetu yangu wachezaji hakuna Kulogana,
Simba wanaologa wanafahamika na wanaigopewa na Viongozi,labda nao wanawapa Ulozi!
Wachezaji wazuri wengi wakoja simba hawachezi wanaumwa tuu![emoji31]
Uchawi kwa wa hezaji simba unatisha mnooo,
Nenda yanga niambie nani analoga wenzie,Hakuna kila mtu na kipaji chake,
na Hata huyu alietoka simba aliepo yanga,Mmkude kule kamwe hatiweza kumloga mtu!
akijaribi tuu mapema wanamuondoa,
kuna wazee Yanga Kazi yao kuangalia mchezaji gani anafanya nini nje ya uwanja,
wakimjua tuu,Taarifa zinafika uongozi anatemwa.
Sisi simba tumekalia kulogana na kuwapa Ulozi viongozi ili wafumbie macho ili waendelee kubaki madarakani.
 
Wapige misumari tu hawana adabu
 
Kuna mtu alicomment kuwa pacome alimstua hersi kuwa huyu mtu ni injury amuache

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
tuliambiwa timu ina scouting tena shabiki mzungu. mwisho tukaona timu yenye scouting inaiba wachezaji AIRPORT
HAHAHAHAHAH. MTU MWEUSI ANA SAFARI NDEFU SANA
 

Wape tiba antibiotic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…