rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Ok.Nakutag sehemu.
Done. Nimeku'mention.. Go through your notification.
Hata sioni.nakupa ruhsa ya pm.Done. Nimeku'mention.. Go through your notification.
Hahahaaa. Sijawahi iona hii Id mdogo wangu.
Huyu mimimkulima alishasema mbona..mkuu Jana Ulirudi Usiku
na miminimkulimaakachekasana tunaombeni pia kufahamu kisa au sababu ya kujiiita hio ID, kwa maana kila mtu akiona hizi ID hatuna mbavu...
Ipo My Dada.. Aliwahi kuja na uzi wake hapa.. kila mtu alikuwa anacheka ID yake..Hahahaaa. Sijawahi iona hii Id mdogo wangu.
Mana nimevuta hisia fulani hivi. Uuwiii. Inabidi aje atupe maana.
Cc. Sinyanyuki Niueni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]@Makiseo.
Niliipenda sana ID hiyo japo siku hizi imepotea. Naamini siku moja itarudi [emoji16][emoji2099]
Naona tumewekwa list ya majambazi..π€£ joke.
Thank you HumbleBoy98 πShunie, Heaven on Earth Abrianna, Mother Confessor Paula Paul Nyani Ngabu Castr SHIMBA YA BUYENZE, na nyingine nyingi tu.
πππ Pamoja mkuu.Naona tumewekwa list ya majambazi..π€£ joke.
Mkuu ahsante sana.
You are welcome mama πThank you HumbleBoy98 π
πππH
Hahahah we jamaa wewe π π π