Wewe mdau wa JF, username ipi ukiachana na unayotumia inakuvutia?

Wewe mdau wa JF, username ipi ukiachana na unayotumia inakuvutia?

😂😂😂 Ww jamaa 😂😂😂 Asante kwa kuniona, kuhusu kuchekesha binafsi cjui nisemaje ila ww ni mtu wa tatu naona unasema nachekesha na n kweli nilibadi I'd kutoka (Mbaga Jr) lakini kuna watu bado wananifahamu.
Nakumbuka nilivobadili I'd kuna jamaa akaona comment yangu kwenye uzi fulani nasifia punyeto bc akaniambia anaupenda/unamchekesha uzi wangu flani hv uliokuwa unaitwa 'jinsi ya kusafisha uume' ambao niliandika nikiwa na I'd ya zamani lakini jamaa akanikumbuka japokuwa nilibadi I'd.
Nakukubali mkuu 🙏
kinachokutenganisha weww na chaputa ni pesa tu🤣
 
Back
Top Bottom