Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mwenzangu alibahatika kwanini mimi!!!?, Usinikatishe tamaa huko au mema mle nyie tu mama mzungu!!?Sio kirahisi hivyo
BabeWatu na experience zenu.
Hama Kwel mtego nauona kabisaMtego huo ndugu. Kimbia haraka kabla hujanasa.
Babe hata usijitetee sana.Babe
Nimesema ukiamua...kwani we umeamua?🤣
Nimejitetea au nimekuuliza?Babe hata usijitetee sana.
Mi nipo tele we tu huonekani unajifungia sanaBaada ya kufichwa na mshangazi, ukanitelekeza dada yako!!! Nipo hapa hapa home uliponiacha.
Hivyo hivyo tumeelewa🤣Nimejitetea au nimekuuliza?
Au sio!!!Mi nipo tele we tu huonekani unajifungia sana
Hamna lolote humo ni Mimi tu kifront front changuAu sio!!!
Sasa hili jambo tunalimaliza kifamilia au tukuachie?
Rafiki au mtafuna mbususu! IdiotKweli kanisaidia maana siwezi hata kumtag. Akinisoma hapa atajijua.
Naumia kumpoteza rafiki kama yeye.
Sio vizuri kupostiana JF..! Nimeshajua😀😀😀 atajitagg mwenyewe
Awe anajipakulia manyama kama chinoSasa huoni km unazidi kuteseka mahi 🥹
Basi mfate pm useme na roho yako ipone 😹
Haya jaribuKama mwenzangu alibahatika kwanini mimi!!!?, Usinikatishe tamaa huko au mema mle nyie tu mama mzungu!!?
OkayKuna jamaa amewashauri wanaume, wasikubali kuwa na wanawake ambao ni left over. Omba jamaa awe hajapita kwenye ule Uzi, maana una nondo nyingi sana.
Hahaha Hakuna kituInaonekana wewe Mama Mzungu mambo yako ya mahusiano ni supa, hongera sana.
Watu wa jf wanazinguaMtafute bwana
Tuanze vikao siyeee
Huoni Misa katutoa kimasomaso
Hapo ndio umefel sasa, ulikuwa unaleta mapozi, mwenzio kaona usimpotezee muda ana mambo mengi ya kufanyaSalaam nyingi kwenu wana JF… niliwamiss sana humu ndani
Leo bwana nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu JF...
Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)
Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..
Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja
Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍