Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Kwanini mnawa -raidisha wamama jamani? Huu ni uonevu…

Infact women over 30 hatupaswi kuambiwa tu ride, kwanza our knees are hurting πŸ˜…πŸ˜…πŸ€¦πŸ»β€β™€οΈ
Tikisa tentemente!!
 
Awe anajipakulia manyama kama chino
Chinno wangu πŸ₯°πŸ₯°
Hivi wewe mwanaume unaendaga wapi? 😹
Yani upo km mzimu vile, unaibuka na kutoweka chap!! 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…