Wewe mwanamke kuwa na huruma kwa mumeo

ukichunguza vizuri mwanaume kama huyu unakuta ni wale wa kupiga magoti ili amvalishe mwanamke pete ya uchumba....

wanawake ni mama zetu dada zetu mashangazi zetu wake zetu ila akili itumike kwenye kuishi nao ukiwa dhaifu lazima upate mshangao..
 
Kuoa ni kubeti
Tatizo simu hana, ili niwatafute hata ndugu zake nijue wanamsaidia vipi, nataka nizame facebook nichague hata wadau 10 lengo nipate ndugu wa huyu jamaa wamsaidie, maana hapa dar hanaga ndugu zaidi ya yeye kuja na kufanya biashara zake japo alijenga
Duh embu fanya ivo.Simu Hana kivip mtu kama huyu na kazi zake izo?
 
Hata asiekua na kazi bado ni kipengele, in short maisha magum kwa sasa ni maisha ya ndoa
 
Wanawake wa siku hizi MASHETANI tu.
Mmejawa na ROHO MBAYA ZA TAMAA.
Je yule jamaa aliyeuliwa na mkewe Morogoro kisa bwana wake bodaboda amemkosea nini mkewe!?
Wanawake mmejaa tamaa sana na hizi tamaa zitawa back stab siku moja.
 
Sisi tunao waamini kwa miongo kadhaa sasa tufanye sass
🤣🤣🤣🤣My friend unamuamini mwanamke!?
Kheri umuamini MAMBA na uishi nae ndani ukimlisha atakuheshimu ila sio MWANAMKE.
Tena hasa wanawake wa zama hizi.
Wengi wao wanakimbilia sana mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…