Unachikitafuta utakipataUmri wowote,dini yoyote,kabila lolote,
Kama ww ni mweusi au kimbaumbau no thank you!
Endelea tu na msako wako wa vyeupe....nsijeolewa kwa mahari afu tatu kisa mweusi.Nimeona PM,jiandaeni kupokea wageni/mshenga
Sawa mkuuMpenzi hajawahi kuwa mzito
yes sirNje ya mada,huyo kwenye avatar ni wewe
Hahahaha ๐๐๐๐,,mi unene sitaki bwanaNatengua kauli ya kupenda vibonge,utanenepea kwangu
Jamani mchumba hujawahi sikia hakuna Mtu mwembamba permanent ๐?We umenenepa lini nakujua kimbaumbau
Eeeeh si ukipendwa ua penda na boga lake?vile vi junior vyetu si ndio maboga?๐Ma
Boga tena
Basi,nimeaga mashindanoAhaaa,if and only if utanionyesha kaburi la baba junior
tutaenda kumuua wote basi we si shda ako afeAhaaa,if and only if utanionyesha kaburi la baba junior
atakaekuja akitaka kuona kaburi tunakuua ndioIli siku ukinichoka na mimi uniue
Hata matikiti hayaruhusiwi,yeye na ubonge na weupe tu na sii korogo kibunda cha matzo ya moo amehakikisha sio shida๐คชTunaruhusiwa kuja na maboga yetu?
Wanatusema kaka ๐๐๐Kunguru kazi wanayo๐๐๐