hhaway
JF-Expert Member
- Jan 6, 2022
- 326
- 422
Marehemu Sheikh Ponda alikuwa anawakosoa Nyie mnaokataza uvutaji wa sigara anasema hio elimu mmeitolea wapiSisi waislam tunaamini fegi Ni Haram %100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu Sheikh Ponda alikuwa anawakosoa Nyie mnaokataza uvutaji wa sigara anasema hio elimu mmeitolea wapiSisi waislam tunaamini fegi Ni Haram %100
Nina marafiki wawili bia na Sigara, bia akasema sigara inamadhara/ sigara akasema bia anakufanya uwe fala/
Bila shaka hukumsikia Dr janabi alipo toa somo la bia tam.Pombe haina madhara kama utatumia kiasi,sigara,moshi wake unachoma mapafu.
Hii ndio hatari kuliko
Mkuu hapo kwenye point namba moja"udhia" ndio maana ikaitwa makruu maana yake inaleta karaha ila hakuna mahali kwenye maandiko iliposemwa ni haramu.Inategemea wewe umeichukulia Ktk engo gani mimi nafuata kauli ya "uharamu mtu kujidhuru au kutumia kitu kinachodhuru" sasa sigara hakuna namna ya kutumia mtu isimdhuru na athari kiafya zipo wazi kabisa achilia mbali nyingine mfano;
1.Mtu unapovuta moshi wake kuwapa wengine hivyo kusababisha udhia na madhara kwa wengine.
2.Harufu mbaya ya mdomo . Haipendezi mtu kuswali hali ya kuwa kinywa kina harufu mbaya na ni sunna kabla ya kuswali kusafisha kinywa sasa kwa wavuta sigara mara nyingi harufu mbaya inakomaa mdomoni tofauti na watu wengine.
BwiiHivi hii ngoma ya JCB huwa inaitwaje