Ukikaa mitaa ya masaki, Msasani na oyster bay utagundua humu humu mjini kuna dunia tatu tofautiHuu mji inatakiwa tuwapishe wenye nao sasa. Ngoja tuhame. Hii RR Cullinan ni V12 ujue dah.
Masaki ushuani mjini hakuna matuta. Matuta kama vianzi tunawekewa huku kuanzia Ubungo.Haha hii chuma niliiona video yake kuna ukurasa mmja instagram jamaa alikuwa nyuma ya kirikuu halafu foleni ikabidi atanue apite.
Kumbe Bongo barabara zetu hata Ferrari zinatembea bila shida.😃
Kama kuna after life, zamu yao bwana nao wateseke.Unajua dunia hii kila mmoja ana nafasi yake hapa. Sasa wote wakiwa na hela nani atalima? Au wote wakiwa na hela nani atamwajiri mwenzake ili atengeneza ice cream au uwo unga wa ngano...
Unavyotumia ndivyo unapata akili zaidi ya kuzitafutaNa haya ndio matumizi aisee
Sina experience na kitu kinaitwa after life ila nahisi ikawa iko hiyo kwa sababu moja ya duality, kama kwa sasa ni mchana kuna wakati utafika utakuwa usiku hata kama uko hai au umekufa au unaona au huoniKama kuna after life, zamu yao bwana nao wateseke.
Inaenda kwa pesa ngapi hii hapa BongoHuu mji inatakiwa tuwapishe wenye nao sasa. Ngoja tuhame. Hii RR Cullinan ni V12 ujue dah.
Ile njia ya Goba ni komesha dk 2 nyingi unakutana na tuta yaani hadi kero.Masaki ushuani mjini hakuna matuta. Matuta kama vianzi tunawekewa huku kuanzia Ubungo.
Mfano njia ya Makongo juu kwenda Goba aisee.
Na ilikuja kwa mwewe hii!.Huu mji inatakiwa tuwapishe wenye nao sasa. Ngoja tuhame. Hii RR Cullinan ni V12 ujue dah.