Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo bado kodiNimeicheki beforwad kuna 1
RR ya 2020 inaenda million 900
Aisee kweli Bongo kama ulaya
Hii inapakiwa Dubai kwenye ndege ndani ya masaa sita ipo bongoAjabu sana yaani!.
Mad Max inaweza kuwa sawa kweli ununue chombo ya garama alafu uisubiri mwezi mzima kisa garama ndogo ya usafiri?.
One-more cup of tea PLEASE!!!☕Tatizo ata kwenye mataa hasimami.
SiijuiIle ya Mosha sio phantom?
Mi changu cha laki 1 nasumbua mtaa.Tafuta pesa 12mil
View attachment 3096885
Hivi siyo vi toy kweli.Aisee!
Kwenda Coco mara moja tu napisha na chuma ya Italia, iko na custom number "SPYDER".
View attachment 3096826
(Picha nimetumiwa tu baadae)!
Nakuja ambiwa ni kijana kutoka Familia ya kitajiri wauza rambaramba na unga wa ngano.
View attachment 3096829
Ferrari 458, 4.5 V8 engine, wazee wa 5km/L.
Tutafute hela
Phantom ndio nyama sasaSi ndio Prof Jay aliigizia kwenye video yake?
View attachment 3096888
Kwa zile taa ni Phantom VII zile za kitambo kidogo 2010 kurudi nadhani.
Dharau aseeh😅😢mbona Kwann utaje ubungo aseeMasaki ushuani mjini hakuna matuta. Matuta kama vianzi tunawekewa huku kuanzia Ubungo.
Mfano njia ya Makongo juu kwenda Goba aisee.
Uhai haununuliwi?Suala lingine linalo nishangaza
Kwann matajiri bongo hii pamoja na pesa zao nyumbani kwenye magate bado wana ajiri walinzi
Hii comparison ya Bongo kama Ulaya,umetumia kigezo gani?Nimeicheki beforwad kuna 1
RR ya 2020 inaenda million 900
Aisee kweli Bongo kama ulaya