The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Almost 1.2 billionsInaenda kwa pesa ngapi hii hapa Bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Almost 1.2 billionsInaenda kwa pesa ngapi hii hapa Bongo
Suala lingine linalo nishangaza
Wote tukiwa na ferari nani atashangaa kama wewe hapo?
Automatic gates sio kila mtu anaweza kuingiaKuzuia omba omba na uninvited guests!
Sina uhakika sana ila ipo bei chini kwa hiyo rolls royceAisee! Asante
Na hiyo Ferrari inaendaje
Ndo hao akitembea Sana ameishia puguSuala lingine linalo nishangaza
Kwann matajiri bongo hii pamoja na pesa zao nyumbani kwenye magate bado wana ajiri walinzi
Tafute hela kijana uache kukodolea gari za wanaume😂😂Aisee!
Kwenda Coco mara moja tu napisha na chuma ya Italia, iko na custom number "SPYDER".
View attachment 3096826
(Picha nimetumiwa tu baadae)!
Nakuja ambiwa ni kijana kutoka Familia ya kitajiri wauza rambaramba na unga wa ngano.
View attachment 3096829
Ferrari 458, 4.5 V8 engine, wazee wa 5km/L.
Tutafute hela
Watu wana miliki viwanda na deal kubwa kubwa kumiliki chuma kama hizo kwao kawaidaHii Ferrari ni old kidogo ya 2013, iyo RR ujue ya 2019 kuja juu.. Huchelewi kuta mtu kanunua 0km.
Hela ndogo kwa ma billionaire, kwa mtu mwenye kioato cha chini akinunua bist au passo unakuta amejiumiza sana na amejishusha kiuchumi tofauti na billionaires kama hawa wanaonuna hizi rolls royceHii Ferrari ni old kidogo ya 2013, iyo RR ujue ya 2019 kuja juu.. Huchelewi kuta mtu kanunua 0km.
Lile dege lenu la mizigo ndilo linafanya hiyo kazi kwa sasa!.Haikuja na Silent Ocean?
Yaani tajiri asubirie chuma siku 28 ??Haikuja na Silent Ocean?