Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu gari siku hizi sio issues, unaweza kuwa na gari na mfukoni Ukawa empty set...Wanawake kama tulIvokubaliana kwenye kikao ukitaka mwanaume mwenye gari utampat tulipo paki gari lako
Mwenzio kaandika SPIDER na wewe unamkosoa?Aisee!
Kwenda Coco mara moja tu napisha na chuma ya Italia, iko na custom number "SPYDER".
View attachment 3096826
(Picha nimetumiwa tu baadae)!
Nakuja ambiwa ni kijana kutoka Familia ya kitajiri wauza rambaramba na unga wa ngano.
View attachment 3096829
Ferrari 458, 4.5 V8 engine, wazee wa 5km/L.
Tutafute hela
Kabisaa mkuuIla ni vizuri kwenda kule once a month kujikumbusha kwamba utafute hela aisee
Mjukuu wa bakhresaAisee!
Kwenda Coco mara moja tu napisha na chuma ya Italia, iko na custom number "SPYDER".
View attachment 3096826
(Picha nimetumiwa tu baadae)!
Nakuja ambiwa ni kijana kutoka Familia ya kitajiri wauza rambaramba na unga wa ngano.
View attachment 3096829
Ferrari 458, 4.5 V8 engine, wazee wa 5km/L.
Tutafute hela
Siyo kijana wa waoka mikate!Aisee!
Kwenda Coco mara moja tu napisha na chuma ya Italia, iko na custom number "SPYDER".
View attachment 3096826
(Picha nimetumiwa tu baadae)!
Nakuja ambiwa ni kijana kutoka Familia ya kitajiri wauza rambaramba na unga wa ngano.
View attachment 3096829
Ferrari 458, 4.5 V8 engine, wazee wa 5km/L.
Tutafute hela
Siyo kweliMjukuu wa bakhresa
🤣daahAisee ila kwenye maisha kuna siri fulani ukiijua ndio utaweza miliki gari kama hizo, wengi wetu hiyo siri ndio hatuijui sasa tunaishia kukimbia mbio za Panya mpaka tunakufa
Hujamuelewa yaani kuitakatisha asilipe ushuruYaani tajiri asubirie chuma siku 28 ??
NImemuelewa, ninamaanisha hawezi kutumia meli kusacirisha bali mweweHujamuelewa yaani kuitakatisha asilipe ushuru
Bro unateseka ukiwa wapi? Kwa nini unaumizwa na hobbies au mafanikio ya wengine?Your so obssesed with car do hard work to ride a car comfortable your post make you a fool
Stress mkuu. Stress mbaya sana.Bro unateseka ukiwa wapi? Kwa nini unaumizwa na hobbies au mafanikio ya wengine?
In fact this post makes you look exceptionally foolish.!
News za Mad Max kuhusu magari zinaelimisha wengi. Unatoka huko na frustrations zako unaanza kutukana watu. .. sad!
Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.Kama kuna after life, zamu yao bwana nao wateseke.
Umejuaje hawateseki?! Au unadhani pesa ndio inamaliza shida zote za duniaKama kuna after life, zamu yao bwana nao wateseke.
Ni Spider siyo SpyderAisee!
Kwenda Coco mara moja tu napisha na chuma ya Italia, iko na custom number "SPYDER".
View attachment 3096826
(Picha nimetumiwa tu baadae)!
Nakuja ambiwa ni kijana kutoka Familia ya kitajiri wauza rambaramba na unga wa ngano.
View attachment 3096829
Ferrari 458, 4.5 V8 engine, wazee wa 5km/L.
Tutafute hela