Wewe Tajiri mwenye Ferrari nyekundu, custom number plate "SPYDER" upo humu JF?

Mwenzio kaandika SPIDER na wewe unamkosoa?
 
Siyo kijana wa waoka mikate!

Huyo ni kijana wa Abdrikarim Mulla! Anaitwa Dadykarim Mulla! Wale wenye kiwanda cha Tanzania Tea Blenders! Ingawa huyu dogo ana mishe zakuuza mawe Arusha!
 
Your so obssesed with car do hard work to ride a car comfortable your post make you a fool
Bro unateseka ukiwa wapi? Kwa nini unaumizwa na hobbies au mafanikio ya wengine?

In fact this post makes you look exceptionally foolish.!

News za Mad Max kuhusu magari zinaelimisha wengi. Unatoka huko na frustrations zako unaanza kutukana watu. .. sad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…