Wewe uliyetudanganya kuwa tukiweka dawa ya meno kwenye uume tutapata matokeo chanya Mungu anakuona. Mkuyenge wangu ulikata moto.

Wewe uliyetudanganya kuwa tukiweka dawa ya meno kwenye uume tutapata matokeo chanya Mungu anakuona. Mkuyenge wangu ulikata moto.

Mi nikibooost confidence yangu...nikimvaa demu shoo sio ya nchi hii ....

Lazima aamke kesho viungo vinauma....goals kama zote.....kileleni afike mpaka achoke ashuke .
Watu wa mboyoyo nyingi kama nyie ni hewa kabisa
 
Ha ha ha haaaaa!!! Unachanganya na pilipili manga iliyosagika vizuri!
mmmmmmh
Navyofahamu mimi dawa ya mswaki ikipakwa husababisha kichwa kufa ganzi
kitu ambacho hupunguza msukumo wa hisia wakati wa tendo ambapo ndiyo sababu ya kukimbia mda mrefu bila kufika kileleni

Huwa wanashauri upake kwa mda fulani na uifute kwa maji safi kabla ya kumwingilia mama chanja
sasa kwanini ujicheleweshe kufika kileleni,huko ni kujichosha
 
Back
Top Bottom