"Wewe unanifuatafuata sana, hii ni mara ya tatu, sikuogopi " Hili kosa adhabu yake ndio kifungo cha miaka miwili?

"Wewe unanifuatafuata sana, hii ni mara ya tatu, sikuogopi " Hili kosa adhabu yake ndio kifungo cha miaka miwili?

Nashindwa kuelewa hapo, ina maana mpaka haji anatamka ayo maneno yeye karia alikuwa amenyamaza kimya? Akuna maneno aliyomwambia manara mpaka akamtamkia ivyo? Ina maana manara ni kichaa alimfata Karia na kuanza kumwambia ayo maneno bila sababu? Mbona iyo kamati haisemi yeye karia aliongea maneno gani pale? Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hili suala alijakaa sawa hata kidogo
Nimeshika neno " Manara Ni kichaa" imeisha hiyoooo
 
Hivi ndivyo Haji Manara alivyomwambia Wallace Karia , ambaye ni Rais wa TFF kule Arusha kwenye game ya fainali kati ya Yanga na Coastal Union .

Je Kauli hii inastahili adhabu hiyo na Faini ya Tsh Mil 20 , kama ambavyo TFF imemuadhibu Haji Manara , au kuna msukumo wa mambo mengine ? Video zimeonyesha Karia akitamka maneno na kumnyooshea kidole Manara , ni maneno gani aliyokuwa anayasema Karia , mbona hayakuwekwa ?

Kamati ya Utendaji ya TFF inaongozwa na Karia , Je hawa ndio wa kumhukumu Manara na kwamba hawana Conflict of Interest ?

Binafsi simpendi Manara , maana mimi ni Simba , lakini jambo hili linahitaji mjadala mpana sana , Mlalamikaji wa hili alikuwa nani na alilalamika kuhusu nini ? na Je Manara amehukumiwa kwa Kanuni ipi ?

Leo ni Manara , Juzi ni Kocha wa Mbeya Kwanza , Kesho ni wewe .

Anayekula Nyama ya Mtu haachi - JK NYERERE
Na yeye karia alisema kitu gani siku ile?
 
Hivi ndivyo Haji Manara alivyomwambia Wallace Karia , ambaye ni Rais wa TFF kule Arusha kwenye game ya fainali kati ya Yanga na Coastal Union .

Je Kauli hii inastahili adhabu hiyo na Faini ya Tsh Mil 20 , kama ambavyo TFF imemuadhibu Haji Manara , au kuna msukumo wa mambo mengine ? Video zimeonyesha Karia akitamka maneno na kumnyooshea kidole Manara , ni maneno gani aliyokuwa anayasema Karia , mbona hayakuwekwa ?

Kamati ya Utendaji ya TFF inaongozwa na Karia , Je hawa ndio wa kumhukumu Manara na kwamba hawana Conflict of Interest ?

Binafsi simpendi Manara , maana mimi ni Simba , lakini jambo hili linahitaji mjadala mpana sana , Mlalamikaji wa hili alikuwa nani na alilalamika kuhusu nini ? na Je Manara amehukumiwa kwa Kanuni ipi ?

Leo ni Manara , Juzi ni Kocha wa Mbeya Kwanza , Kesho ni wewe .

Anayekula Nyama ya Mtu haachi - JK NYERERE
Muache ale mvua ili siku nyingine awe na adabu kwa wakubwa zake maana amezidi ulopolopo
 
Tulikwenda nyumbani kwa karia na juice tukanywa na picha tukapiga[emoji16][emoji16].kumbe mwenzio alikuwa anamchora tu
Msifurahie, huenda akakata rufaa na adhabu kufutwa au kupunguziwa.
 
Na akamwambia Mr President naweza nikakuzimia fegi kwenye jicho lako [emoji1787] iyo adhabu aliyopewa ni ndogo sana uyu angewekwa Lockdow ya maisha dadeki zake
20220721_152525.jpg
 
Hakunaa mtu mnafiki Kama manara.
Alipokuwa Simba alijifanya ana uchungu Sana na Simba.
Kaenda utopolo napo anajifanya ana uchungu Sana na utopolo.
dunia hii unafikii upo kila konaa... so ili mradi mkono uende kinywani
 
Hivi ndivyo Haji Manara alivyomwambia Wallace Karia , ambaye ni Rais wa TFF kule Arusha kwenye game ya fainali kati ya Yanga na Coastal Union .

Je Kauli hii inastahili adhabu hiyo na Faini ya Tsh Mil 20 , kama ambavyo TFF imemuadhibu Haji Manara , au kuna msukumo wa mambo mengine ? Video zimeonyesha Karia akitamka maneno na kumnyooshea kidole Manara , ni maneno gani aliyokuwa anayasema Karia , mbona hayakuwekwa ?

Kamati ya Utendaji ya TFF inaongozwa na Karia , Je hawa ndio wa kumhukumu Manara na kwamba hawana Conflict of Interest ?

Binafsi simpendi Manara , maana mimi ni Simba , lakini jambo hili linahitaji mjadala mpana sana , Mlalamikaji wa hili alikuwa nani na alilalamika kuhusu nini ? na Je Manara amehukumiwa kwa Kanuni ipi ?

Leo ni Manara , Juzi ni Kocha wa Mbeya Kwanza , Kesho ni wewe .

Anayekula Nyama ya Mtu haachi - JK NYERERE
Hii ndio maana halisi ya chama cha watu, peoples power, kinapigania haki za watu wote.

ASANTE SANA MKUU erythrocytes kwa kupaza sauti.
 
Hivi ndivyo Haji Manara alivyomwambia Wallace Karia , ambaye ni Rais wa TFF kule Arusha kwenye game ya fainali kati ya Yanga na Coastal Union .

Je Kauli hii inastahili adhabu hiyo na Faini ya Tsh Mil 20 , kama ambavyo TFF imemuadhibu Haji Manara , au kuna msukumo wa mambo mengine ? Video zimeonyesha Karia akitamka maneno na kumnyooshea kidole Manara , ni maneno gani aliyokuwa anayasema Karia , mbona hayakuwekwa ?

Kamati ya Utendaji ya TFF inaongozwa na Karia , Je hawa ndio wa kumhukumu Manara na kwamba hawana Conflict of Interest ?

Binafsi simpendi Manara , maana mimi ni Simba , lakini jambo hili linahitaji mjadala mpana sana , Mlalamikaji wa hili alikuwa nani na alilalamika kuhusu nini ? na Je Manara amehukumiwa kwa Kanuni ipi ?

Leo ni Manara , Juzi ni Kocha wa Mbeya Kwanza , Kesho ni wewe .

Anayekula Nyama ya Mtu haachi - JK NYERERE
Kwani Bumbuli na Nugaz wanasemaje?

Mbona nimewaona wanasheherekea kwa kunywa mvinyo?
 
Karia ni Tiss, enzi za mwenda zake alipewa jukumu la kumshughulikia wambura mpaka atokomee paspo julikana na hiyo kazi aliifanya vyema kwa msaada wa jiwe, kwakuwa kipindi kile wambura alionekana anamtazamo wa kilibelari kama alivyokuwa Edward lowasa

Sasa ni wakati wa huyu Tiss kuicha taasisi hii ya michezo na akafanye kazi zinazoendana na majukumu yake.

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
 
Huyo msomali ni wa hovyo sana, kuna kipindi nafikiri akiwa Arusha alisikika akipiga siasa za kijinga sana kwa kumponda Tundu Lissu kipindi serikali ya Magufuli ilipotaka kumuua.

Alifanya hivyo ili aonekane kwa Magufuli kwamba na yeye hampendi Lissu kwani mbele ya dikteta Magufuli yeyote aliyekuwa akionyesha huruma kwa Lissu alionekana adui wa taifa. Bure kabisa huyu msomali.
 
Wee nae hamna kitu unachukua vitu juu juu halafu unakuja kutoa conclusion kabla ya kuandika kitu au kutoa taarifa jiridhishe kwanza kama taarifa imekamilika kama haikukamilika tafuta mpk ikamilike vinginevyo ukiitoa nusu watu wanasema umekurupuka na siku zote ukiona mtu anakurupuka katika jambo lolote ujue hana anachokijua katika hilo jambo
Nenda kayatafute maneno yaliyobakia ndio uje kutoa unachotaka kusema vinginevyo maneno yako kama gunia la pumba huku ukijidai katika gunia kuna mchele
Mbona kama povu jingi sana ku nani?
 
Back
Top Bottom