"Wewe unanifuatafuata sana, hii ni mara ya tatu, sikuogopi " Hili kosa adhabu yake ndio kifungo cha miaka miwili?

"Wewe unanifuatafuata sana, hii ni mara ya tatu, sikuogopi " Hili kosa adhabu yake ndio kifungo cha miaka miwili?

Kufungiwa miaka 2 hiyo nadhani siyo issue kubwa, ila hiyo 20 mil kama faini inatisha sana. Unless una biashara ya maana sana lakini siyo vinginevyo. Saizi ya Manara ni 2 mil.zinatosha kumpa funzo.
Manara Ana helaaaa amini maneno yangu,natamani kusema hapa afu mtoaji mzuri,mshahara wake si chini ya 30m ,20m kwake sio kitu kabisaa....najua nachokisema
 
mkuu kinacholeta ukakasi ni kuwa kamati wametamka maneno ya manara aliyomwambia Karia lakini kamati hawajaeleza ni nini Karia alimtamkia au kumfanyia Manara kikapelekea jamaa kumjibu hivyo . kamati itamke chanzo kilikuwa ni nini?

mkuu kinacholeta ukakasi ni kuwa kamati wametamka maneno ya manara aliyomwambia Karia lakini kamati hawajaeleza ni nini Karia alimtamkia au kumfanyia Manara kikapelekea jamaa kumjibu hivyo . kamati itamke chanzo kilikuwa ni nini?
Mkuu bado tu au umeamini
 
Back
Top Bottom