Wewe unatumia njia gani kupata ujasiri wa kuzungumza mbele ya watu wanaokuzidi kila kitu?

Wewe unatumia njia gani kupata ujasiri wa kuzungumza mbele ya watu wanaokuzidi kila kitu?

Binafsi naingiagq ktk Vikao vya bodi ya wakaurugenzi, wakati wa kuwasilisha Ripoti ya idara yangu.

Na mimi pekee ndio kijana wengine wote ni wazee na wenye mamlaka hata ya kumtoa DG/CEO/MD.

So Mbinu nayotumia ni SAUTI. Ukiongea kwa SAUTI kubwa unagain confidence try.
 
Binafsi yangu kila kitu huwa nakiweka kwenye me VS me ili nisitibuliwe na pressure za nje.

Mara nyingi naweka matarajio au kupima performance kutokana na uwezo wangu na sio kupigiwa makofi na watu wengine. Pia huwa naamini kama nimeitwa sehemu flani bhasi ina maanisha wameona thamani ndani yangu kwa hiyo huwa nasali na kujiandaa kutoa the best out of me..

Kingine nimekubali hofu lazma iwepo tuuuu ila kuishinda inahitajika kutengeneza mazingira ya kuwa na confidence toka ndani. Ndio maana huwa najiandaa mentally kwa naman hiyo
 
Mimi nilikuwa siwez aisee Yani naweza nikawa najua kitu vizuri tu lakini kukiwasilisha Kwa mdomo ni mtihani 😀😀kunasehemu unaona kabisa ukiongea unaokoa jahazi lakin nguvu hauna😂😂roho Ilikuwa inaniuma ila now nimeiprove kidogo
Ila Kwa maandishi Niko vizuri sana Yani sana Yani nikishika kalamu nikiweka neno moja tu yanaflow
 
Mimi bwana naweza kuwa sielewi natoa wapi confidence , mimi kosa lako kunipa muda nionngee hapo kaa ujue sitakuogopa hata uwe nani .

Nilifumaniwa na wanakijiji na mke wa mwanakijiji , nikatimuliwa ili nipigwe nikaingia kwenye ofisi za kijiji , huku nawaza nachomokaje , kosa ni pale mtendaji aliposema nijitetee niliongea kama lisaa wanakijiji wakaanza kutawanyika mmoja baada ya mwingine .

Hapo nataja vifungu vya sheria kuwa wakiniuwa basi wanalo wataacha familia zao , mara utajiri wao utakoma mpaka namaliza nilikuwa na watu wanne tu , demu niliyefumwa naye , mmewe na wazazi wa binti wakaitwa ndani tukayajenga ikanitoka mia hamsini maisha yakaendelea .

Hivyo mimi nikianza kuongea hata uwe nani sikuogopi tena .
 
Binafsi naingiagq ktk Vikao vya bodi ya wakaurugenzi, wakati wa kuwasilisha Ripoti ya idara yangu.

Na mimi pekee ndio kijana wengine wote ni wazee na wenye mamlaka hata ya kumtoa DG/CEO/MD.

So Mbinu nayotumia ni SAUTI. Ukiongea kwa SAUTI kubwa unagain confidence try.
Nakubali hii Mimi nilikuwa muhanga pia
nilimfata rafikiyangu yeye ni mwanasheria akanambia kama kunakikao hata kma huna hoja ya kutoa ukipewa nafas usikae kimya unga mkono hata hoja zilizopita toa hata shukrani Kwa waliowasilisha hoja zao
Kujiamini kunaanzia hapo
Wengine nafikir ni nature Yao tu mwingine anaongea pumba kabisa 😀lkn unashangaa anajiamini balaa
 
Nakubali hii Mimi nilikuwa muhanga pia
nilimfata rafikiyangu yeye ni mwanasheria akanambia kama kunakikao hata kma huna hoja ya kutoa ukipewa nafas usikae kimya unga mkono hata hoja zilizopita toa hata shukrani Kwa waliowasilisha hoja zao
Kujiamini kunaanzia hapo
Wengine nafikir ni nature Yao tu mwingine anaongea pumba kabisa 😀lkn unashangaa anajiamini balaa
Si wanasiasa wanaongea pumba watu wanapiga MAKOFI tu.. hahahah
 
1.waheshimu Kwa nafasi zao. Jishushe kama ni kijana WA makamo.
2.usiongee sana sikiliza zaidi (utawapima na kujilinganisha nao)
3.ukimya wako yupo mmoja atastuka akikuuliza maoni (anything) hapo ongea kidogo Tena Kwa fact.
4.kama kutakua na chakula angalia behaviours zao muda WA kula au break kama watasimama Kwa vikundi tembelea vyote hapa hua Kuna funzo kubwa sana na muda huu wote huexpose uwezo na tabia zao na uwezo wao hasa kama ni watu wenye vyeo sawa/vinaendana au kufanya KAZI pamoja Kwa muda mrefu.

Mengine siku nyingine.
 
Mimi bwana naweza kuwa sielewi natoa wapi confidence , mimi kosa lako kunipa muda nionngee hapo kaa ujue sitakuogopa hata uwe nani .

Nilifumaniwa na wanakijiji na mke wa mwanakijiji , nikatimuliwa ili nipigwe nikaingia kwenye ofisi za kijiji , huku nawaza nachomokaje , kosa ni pale mtendaji aliposema nijitetee niliongea kama lisaa wanakijiji wakaanza kutawanyika mmoja baada ya mwingine .

Hapo nataja vifungu vya sheria kuwa wakiniuwa basi wanalo wataacha familia zao , mara utajiri wao utakoma mpaka namaliza nilikuwa na watu wanne tu , demu niliyefumwa naye , mmewe na wazazi wa binti wakaitwa ndani tukayajenga ikanitoka mia hamsini maisha yakaendelea .

Hivyo mimi nikianza kuongea hata uwe nani sikuogopi tena .
Mkuu kwann usiandike uzi kabsa kuhusu hyo story ya kufumaniwa?
 
Habari wana JF,

Baadhi yetu tumewahi kupata bahati ya kukaa na wakubwa au kutoa speech mbele ya watu wenye vyeo vikubwa kutuzidi, au kwenye interview nk.

Confidence na utulivu ni jambo muhimu sana wakati huo.

Binafsi huwa nawadharau watu wote wanaonitazama ili kupata confidence.

Wewe unatumia njia gani?
Note: ukiitwa sehemu yoyote kwenye kikao au mafunzo hata kama utakutana na mtu mkubwa kiasi gani by that time you belongs to the same group.
 
Back
Top Bottom