Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
We kumbafu kabisa🤣🤣🤣🤣Habari wana JF,
Baadhi yetu tumewahi kupata bahati ya kukaa na wakubwa au kutoa speech mbele ya watu wenye vyeo vikubwa kutuzidi, au kwenye interview nk.
Confidence na utulivu ni jambo muhimu sana wakati huo.
Binafsi huwa nawadharau watu wote wanaonitazama ili kupata confidence.
Wewe unatumia njia gani?
Mimi ukinipa hiyo nafasi utakoma