Wewe unayesumbuliwa na nuksi, mikosi, mabalaa, Biashara, Umasikini, migogoro kwenye familia, kufeli masomo, michezo, njoo kwa Bulldozer Mwamposa

Mamilioni hawawez kuw wajinga ? Badala watu wafanye kazi wapate maendeleo mnahamasishana ujinga , nmesema hivyo kwa sababu naitambua njia ya maendeleo ya kweli ni kufanya kazi kwa akili basi na si vinginevyo .
Wote wasio fanikiwa HAWAFANYI kazi????
 
Njoo kanisa moja katoliki na la mitume. Huko kwingine unapoteza muda. Lini kanisa likawa la mtu? Mtapogwa sana wao wanazidi kujenga mahotel tu kwao mbeya
Ukatoliki haukupeleki mbinguni
Baada ya kujitafakari ndo wakaanzisha UKARISMATIKI.
Je una tofauti gani na ibada za kiroho.
Katoliki hata BIBLIA hawaijui.ibada lisaa limoja TU,Neno SAA ngapi kufundishwa???
Mkae kwa kutulia,Jumapili kaweeeee tuna Jambo letu la kumalizia mwaka.
Wakatoliki endeleeni na mashoga na ushoga na kuubariki.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mungu wa Mwamposa anajibu kwa haraka sana,

Niliomba nyumba nimalize tayari,
Nikaomba ushindi kwa watesi tayari,
Nikaomba baraka , tayari
Nikaomba kibali , tayari
Nikaomba uzima, tayari
Huyo Mungu wa mwamposa ni Mungu gani? Yeye ana Mungu wake peke yake? Kama ni huyu huyu Mungu tunayemjua ina maana huyo Mungu anamsikiliza zaidi Mwamposa kuliko wewe? Wewe ukimuomba huyo Mungu hakusikilizi mpaka umuombe kupitia huyo mwamposa?

Kwahiyo huyo Mungu ana ubaguzi wa kumsikiliza mwamposa akiwaombea watu kwake ila watu wakimuomba wao wenyewe huyo Mungu hawasikilizi?
 
Yaani hata Mimi niliomba Jambo hilooo,limetimia.tena nilisema kabla ya mwaka haujaisha.
Mwamposa NI habari nyingine
Usikufuru Mungu please. Aliyekufanikishia hilo jambo ni Mungu na siyo Mwamposa. Hakuna dhambi mbaya kama kushindwa kumpa Mungu utukufu wake pale inapostahili. Wengi waliofanya hivyo Mungu hakuwaacha. Ndiyo maana Mtume Paulo na wenzake walikuwa waangalifu sana kutogusa utukufu wa Mungu pale walipotenda miujiza.

Wewe na Mwamposa wako si lo lote wala cho chote bila Mungu. Tubuni!
 
 
Wakatoliki wote wasomi hawahitaji masaa mengi kanisani kana kwamba ni slow learners
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…