Saa moja unusu nakatiza Mianzini mdogomdogo narudi zangu hotel mara ghalfa watoto ambao hata sikuwawazia;
Dogo: "Bro kata simu unipe, ukileta za kuleta nakuvurugua maini sasa hivi" (huku sime kubwa na kali limegusa upande wa kushoto wa tumbo)
Mimi: "Sawa"