What about R&D?..The Case of Foreign Aid Influx & 'A Japanese Expert' Invite

What about R&D?..The Case of Foreign Aid Influx & 'A Japanese Expert' Invite

Who told you that we don't have our own money? We do. Isipokuwa zinaliwa na wajanja wachache kupitia mikataba mibovu yenye kusikitisha sana.

Wahisani wakileta misaada, wanasimamia wenyewe ili iwafikie walengwa. Matokeo yake ni kwamba pesa tunazokusanya kutokana na kodi zinaliwa kupitia EPA, RICHMOND you name it.

Chukulia hizo dola milioni 700 za Bush ambazo zimeonekana kama ni neema kubwa sana kwa Watanzania, wakati pesa za Richmond na EPA peke yake ukizichanganya zinakuwa zaidi ya nusu ya pesa hizo alizotoa Bush kisha akaonekana kama malaika wa nuru. Pia EPA ni akaunti ndogo tu pale BOT kati ya nyingi zenye mianya ya kuchotwa pesa. Mengi mtayasikia.

Tatizo kubwa ni mfumo mbovu wa ukusanyaji na usimamizi wa mapato na matumizi ya pesa zetu wenyewe. Sheria ikichukua mkondo wake bila kujali cheo wala rangi ya mtu tutapiga hatua.

No we don't! If we do then how come a huge chunk of our budget comes from the donors and not the taxpayers?
 
Are japanese honest??

Do you know anything about YAKUZA???

No sir,
i don't know him.
Bado nawatetea katika hayo niliyoyasema hapo juu, na off course hata Japan kuna umafia hilo sikatai.

Nikirudi katika mjadala
Mimi sioni shida iko wapi katika ujio wake! angalau kama tungekuwa na CV yake hapa tungeweza kusema mengi.

Mimi nafikri si jambo baya, kwani hata wajapan hapo mwanzo walitumia mbinu kama hizo, Kwa mtu yeyote mwenye link anaweza kuziweka hapa
1. ujenzi wa reli, waliagiza mtaalamu mmoja kutoka USA kwa kazi hiyo (shimbashi - yokohama).
2. Quality control/improvement, hali kadhalika pia walileta mtaalamu 1 kutoka USA, na akawafundisha watu wao, na waliweza kujifunza na kuimplement hata kuwazidi waliowafundisha.
n.k

Tatizo labda liwe mipangilio yetu kuwa hatuko tayari kubadilika na kujifunza zaidi.
 
No sir,
i don't know him.
Bado nawatetea katika hayo niliyoyasema hapo juu, na off course hata Japan kuna umafia hilo sikatai.

Nikirudi katika mjadala
Mimi sioni shida iko wapi katika ujio wake! angalau kama tungekuwa na CV yake hapa tungeweza kusema mengi.

Mimi nafikri si jambo baya, kwani hata wajapan hapo mwanzo walitumia mbinu kama hizo, Kwa mtu yeyote mwenye link anaweza kuziweka hapa
1. ujenzi wa reli, waliagiza mtaalamu mmoja kutoka USA kwa kazi hiyo (shimbashi - yokohama).
2. Quality control/improvement, hali kadhalika pia walileta mtaalamu 1 kutoka USA, na akawafundisha watu wao, na waliweza kujifunza na kuimplement hata kuwazidi waliowafundisha.
n.k

Tatizo labda liwe mipangilio yetu kuwa hatuko tayari kubadilika na kujifunza zaidi.

Yakuza is not a person so you can't use the personal pronoun "him"
Yakuza is the Japanese Mafia...
 
Yakuza is not a person so you can't use the personal pronoun "him"
Yakuza is the Japanese Mafia...

Ahsante kwa taarifa,
YAKUZA sounds like one of their names- like the mtaalamu tunayemjadili,
therefore i guessed so..

Thanks, tuendelee na kukata issue
 
katika mada hii original ya mtaalamu kuja kilichonishtua siyo yeye kuja nafikiri hapa ndio tunagongana vichwa; wataalamu kuja ni jambo ambalo limekuwa likifanyika miaka nenda rudi. Tatizo langu ni anakuja kutupa utaalam wa kitu gani. Sasa angaalieni alichosema mama Nagu ndiyo mtaona kwanini nimesema the most ridiculous item..
 
katika mada hii original ya mtaalamu kuja kilichonishtua siyo yeye kuja nafikiri hapa ndio tunagongana vichwa; wataalamu kuja ni jambo ambalo limekuwa likifanyika miaka nenda rudi. Tatizo langu ni anakuja kutupa utaalam wa kitu gani. Sasa angaalieni alichosema mama Nagu ndiyo mtaona kwanini nimesema the most ridiculous item..

Hivi na hao wataalamu wanaokuja miaka nenda rudi wameleta mabadiliko gani au wamesaidia nini?
 
Just venting, Mkuu Bin Maryam, just venting! Chagua unapotaka mengine dharau!

Nilikuwa nafuatilia posti zako. Nimekuelewa msimamo wako na samahani kwa kutokutendea haki.

Nadhani moja ya sababu ya kutumia wataalamu wa nyumbani ni kupunguza gharama. Kuna kipindi nadhani wataalamu kutoka nje walikuwa wanachukua sehemu kubwa ya payroll ya malipo ya mishahara ya serikali. Je tumefika wapi?

Vilevile tatizo kubwa linalokuja ni kuwa tunapokea misaada mingi lakini malipo ya mishahara ya consultants na watalaamu kutoka nje inakula sana misaada yenyewe na hivyo kutofikia walenga.

Nilipomaliza masomo yangu nilirudi Tanzania na nikawa natafuta na CV yangu ilijaa masomo niliyosomea. Kwa sababu sikuwa na ku-connection yoyote huko Tanzania niliondoka na kuja Marekani.

Hapa nilihamua kuanza ngazi ya chini kabisa. Lakini uzoefu na mafunzo niliyopata nikiwa kazini ninajua kabisa ninachofanya kina VALUE gani. Na nikihamua kurudi nyumbani ninajua nitakachofanya kitakuwa na mchango gani.

Si kweli kuwa mtu anayemaliza MIT, Havard, Yale, Cambridge atarudi bongo na kufanya kazi vizuri. Mambo mengi ya shule ni historical facts, unapofanya kazi unapata uzoefu. Kwa mfano ukiwa shule, kama wewe unasoma computer science basi mawazo yako yatakuwa huko. Lakini ukiwa kazini unakutana na wachumi ambao wanakupangia bajeti, unakutana na Marketing watakaokupa picha ya kitu wanachouza. Hivyo elimu yako ni sehemu ya Grand scheme of things.

Kama ningepata kazi Tanzania baada ya kumaliza shule, nisingefanya tofauti na wanavyofanya watanzania wengi. Ningetafuta SUV kubwa, nyumba Masaki na mke mzuri.

Kazi zote zinazofanya hapa ni lazima kwanza niwakumbuke kwanza share-holder, Mteja na mwishoni mimi mwenyewe. Share-holder ndiye aliyeweka mtaji wa kuniwezesha mimi kufanya kazi na kulipwa mshahara. Je kazi yangu, itaweza kutoa faida ya kumlipa share-holders? Je kazi ninayofanya inaweza kumfanya mteja atumie pesa zake? Na hivi ndio vitu vilivyonifanya nibadili utamaduni wangu wa kitanzania. Ninapokwenda kazini siendi na kichwa juu kuwa nilipata division one na A ya hesabu, au upper second degree. Nakwenda kazini nikiwa na attitude ya kumaliza kazi zangu katika muda na bajeti inayotakiwa.

Hivyo kusema kuwa wataalamu Tanzania wapo ni kitu kimoja. Lakini mazingira na attitude ya wataalamu hao kuleta mafanikio ni kitu kingine.
 
kwani huoni maendeleo yote Dar? shule za kisasa, barabara nzuri, majengo ya kisasa, magari ya kisasa n.k ?

Mwanakijiji:

LOL unasema: KWANI HUONI? Maendeleo ya kuona yamepitwa na wakati. Nakumbuka mwalimu wangu wa siasa alitumia kipindi kizima kuelezea AICC baada ya kurudi kutoka kwenye mkutano.
 
Kabla mada hii haijasomewa hitma ningependa saana mjadala huu upewe uhai mpya kwa kuyaweka mawazo yetu wazi na pengine kesho yataweza kutusaidia.
Kwanza kabisa kuna maelezo muhimu alosema SteveD kuhusiana na Utamaduni wetu ambao kwa kila hali ndio mzigo tulioachiwa na tumeshindwa kuutua kifikra. Mkuu SteveD nakubaliana na wewe mia kwa mia lakini wakati huo huo unaweza tumia Utamaduni huo huo ktk mapungufu mengi sana mbali na hayo uliyoyaorodhesha, pia unaweza kuutumia Utamaduni huo dhidi ya baadhi ya dhana ambazo sisi tunafikiria ndio kinga kumbe ndio virus wenyewe..
Mfano, maelezo ya ndugu yangu Dar Es salaam kumpongeza JK kwa ujio wa huyo Mtaalam naweza sema ni moja ya tamaduni hiyo ya kiumtegemea mzungu ama mtu mwenye rangi kuwa mtaalam wa matatizo yako mwenyewe. Ikumbukwe kuwa nachojaribu kuwaambia hawa jamaa wetu ni kwamba matatizo yetu tunayafahamu sisi na ni ktk jitihada za utatuzi wa matatizo hayo ndipo tunapo hitaji mtaalaam. Ni utumwa wa akili unaotusumbua zaidi hata ukitazama maradhi kama Maleria ambayo tumewaita wataalam wa kila aina kuja na madawa ya kila aina yote haya ni ktk kutibu wagonjwa wa maleria na sio kuondoa chanzo cha maradhi hayo yaani mbu.
Sasa basi kwa tamaduni za wazungu mbu ni kama vile pet yaani wana huruma sana na mbu kuliko binadamu na watoto wetu kiasi kwamba kuwaua hawa mbu watatuona sisi wanyama na tunaharibu nature na pengine kuwatokomeza kabisa spicies hawa Anopheles. Ndio maana kuna NGO kibao sasa hivi zinachangisha fedha dunia nzima kuisaidia Africa kununua mosquito nets utadhani hizo net zinawaua hawa mbu..
Nambieni kweli tunaweza eradicate Malaria kwa matumizi mazuri ya hizi nets, na hivi kweli ushauri tunaopata toka nje unatusaidia ku deal na real problem?..HAPANA..
Tunarudi palepla ekuwa utamaduni wetu tumeuacha na kuiga ushauri ama yale ya wazungu ambao kwao hakuna wadudu hawa na wala hawana ugonjwa huu hivyo unapomleta mtaalam afikie Kempiski kisha mwenleze habari za mbu na Maleria bila shaka ushauri wake utakuwa tutumie net kama vile wao wanapokwenda camping weekend huko msituni kwenye ma cottage yao.
Hivyo basi ni bora kwanza sisi tuweke matakwa yetu mbele ya Ushauri wa hawa jamaa. Mathlan tunazungumzia viwanda hili neno ni kubwa zaidi ya mtaalam toka Japan. Ni sawa na kusema Maradhi hali unataka kupambana na maleria. Je, ni viwanda gani tunavyotaka kuanzisha?.... na ikiwa viwanda vinaendeshwa na watu binafsi, ni wapi nafasi ya JK kuamua viwanda gani tunavihitaji nchini hali soko ni huru na wala serikali haiwezi kujihusisha na uwekeshaji ktk viwanda. Haya tuseme tunazungumzia viwanda vinavyosindika mazao yetu ili kukuza kilimo!...Mkuu wangu mfano mdogo ni zao la Korosho. Tulijenga kiwanda cha kukoboa na kupika hizo korosho kwa zaidi ya miaka 10 kiwanda hicho kilikuwa hakina Umeme. Korosho zetu ziliuzwa India ambao walizisafirisha nchi za nje kama mali ya India (made in India) at the price 10 times zaidi ya bei wanayonunua wao toka kwetu. Taarifa hii ipo serikalini zaidi ya miaka 10 mingine na hadi leo bado tunaendelea kusafirisha India kiwanda kimekufa ama labda kimeuzwa kwa mhindi lakini walanguzi (wanaopeleka India) ndio wenye nguvu ya ununuzi wa zao hili toka kwa wakulima.

Kwa hiyo wakuu naweza kubaliana sana na Nyani Ngabu anapotumia neno NDIVYO TULIVYO ikiwa na maana ya kwamba sisi waafrika tunapenda sana urahisi wa kila kitu. Hata nchi za Ulaya hutumia wataalam toka nchi nyinginezo lakini baada ya kutambua ni kitu gani wanataka kujenga. Mathlan Nuclear energy basi watawachukua wataalam wanaoweza jenga nuclear power station ikiwa hawana watu wenye ujuzi ama elimu ya fani hiyo ktk sekta fulani, lakini sio kumleta mtaalam kuwaambia kwamba ati wanahitaji nuclear power kuondokana na tatizo la Umeme, besides viwanda ni major source of income ktk nchi zote zilizoendelea duniani kiasi kwamba sio somo tena ila mchumi yeyote yule iwe hata kasomea Dar school of Business mwaka 1970 amesoma umuhimu wa viwanda ktk uchumi wa nchi...
This all thing is a crap!.... ni ujinga mkubwa kumwita mtaalam toka Japan unless tunataka kukiendeleza kiwanda cha magari yetu ya Nyumbu lakini sio ktk Kilimo.
 
Kabla mada hii haijasomewa hitma ningependa saana mjadala huu upewe uhai mpya kwa kuyaweka mawazo yetu wazi na pengine kesho yataweza kutusaidia.
Kwanza kabisa kuna maelezo muhimu alosema SteveD kuhusiana na Utamaduni wetu ambao kwa kila hali ndio mzigo tulioachiwa na tumeshindwa kuutua kifikra. Mkuu SteveD nakubaliana na wewe mia kwa mia lakini wakati huo huo unaweza tumia Utamaduni huo huo ktk mapungufu mengi sana mbali na hayo uliyoyaorodhesha, pia unaweza kuutumia Utamaduni huo dhidi ya baadhi ya dhana ambazo sisi tunafikiria ndio kinga kumbe ndio virus wenyewe..
Mfano, maelezo ya ndugu yangu Dar Es salaam kumpongeza JK kwa ujio wa huyo Mtaalam naweza sema ni moja ya tamaduni hiyo ya kiumtegemea mzungu ama mtu mwenye rangi kuwa mtaalam wa matatizo yako mwenyewe. Ikumbukwe kuwa nachojaribu kuwaambia hawa jamaa wetu ni kwamba matatizo yetu tunayafahamu sisi na ni ktk jitihada za utatuzi wa matatizo hayo ndipo tunapo hitaji mtaalaam. Ni utumwa wa akili unaotusumbua zaidi hata ukitazama maradhi kama Maleria ambayo tumewaita wataalam wa kila aina kuja na madawa ya kila aina yote haya ni ktk kutibu wagonjwa wa maleria na sio kuondoa chanzo cha maradhi hayo yaani mbu.
Sasa basi kwa tamaduni za wazungu mbu ni kama vile pet yaani wana huruma sana na mbu kuliko binadamu na watoto wetu kiasi kwamba kuwaua hawa mbu watatuona sisi wanyama na tunaharibu nature na pengine kuwatokomeza kabisa spicies hawa Anopheles. Ndio maana kuna NGO kibao sasa hivi zinachangisha fedha dunia nzima kuisaidia Africa kununua mosquito nets utadhani hizo net zinawaua hawa mbu..
Nambieni kweli tunaweza eradicate Malaria kwa matumizi mazuri ya hizi nets, na hivi kweli ushauri tunaopata toka nje unatusaidia ku deal na real problem?..HAPANA..
Tunarudi palepla ekuwa utamaduni wetu tumeuacha na kuiga ushauri ama yale ya wazungu ambao kwao hakuna wadudu hawa na wala hawana ugonjwa huu hivyo unapomleta mtaalam afikie Kempiski kisha mwenleze habari za mbu na Maleria bila shaka ushauri wake utakuwa tutumie net kama vile wao wanapokwenda camping weekend huko msituni kwenye ma cottage yao.
Hivyo basi ni bora kwanza sisi tuweke matakwa yetu mbele ya Ushauri wa hawa jamaa. Mathlan tunazungumzia viwanda hili neno ni kubwa zaidi ya mtaalam toka Japan. Ni sawa na kusema Maradhi hali unataka kupambana na maleria. Je, ni viwanda gani tunavyotaka kuanzisha?.... na ikiwa viwanda vinaendeshwa na watu binafsi, ni wapi nafasi ya JK kuamua viwanda gani tunavihitaji nchini hali soko ni huru na wala serikali haiwezi kujihusisha na uwekeshaji ktk viwanda. Haya tuseme tunazungumzia viwanda vinavyosindika mazao yetu ili kukuza kilimo!...Mkuu wangu mfano mdogo ni zao la Korosho. Tulijenga kiwanda cha kukoboa na kupika hizo korosho kwa zaidi ya miaka 10 kiwanda hicho kilikuwa hakina Umeme. Korosho zetu ziliuzwa India ambao walizisafirisha nchi za nje kama mali ya India (made in India) at the price 10 times zaidi ya bei wanayonunua wao toka kwetu. Taarifa hii ipo serikalini zaidi ya miaka 10 mingine na hadi leo bado tunaendelea kusafirisha India kiwanda kimekufa ama labda kimeuzwa kwa mhindi lakini walanguzi (wanaopeleka India) ndio wenye nguvu ya ununuzi wa zao hili toka kwa wakulima.

Kwa hiyo wakuu naweza kubaliana sana na Nyani Ngabu anapotumia neno NDIVYO TULIVYO ikiwa na maana ya kwamba sisi waafrika tunapenda sana urahisi wa kila kitu. Hata nchi za Ulaya hutumia wataalam toka nchi nyinginezo lakini baada ya kutambua ni kitu gani wanataka kujenga. Mathlan Nuclear energy basi watawachukua wataalam wanaoweza jenga nuclear power station ikiwa hawana watu wenye ujuzi ama elimu ya fani hiyo ktk sekta fulani, lakini sio kumleta mtaalam kuwaambia kwamba ati wanahitaji nuclear power kuondokana na tatizo la Umeme, besides viwanda ni major source of income ktk nchi zote zilizoendelea duniani kiasi kwamba sio somo tena ila mchumi yeyote yule iwe hata kasomea Dar school of Business mwaka 1970 amesoma umuhimu wa viwanda ktk uchumi wa nchi...
This all thing is a crap!.... ni ujinga mkubwa kumwita mtaalam toka Japan unless tunataka kukiendeleza kiwanda cha magari yetu ya Nyumbu lakini sio ktk Kilimo.

Komredi Mkandara:

Kwenye nyumba ya vioo usimpe rungu kichaa.
 
This all thing is a crap!.... ni ujinga mkubwa kumwita mtaalam toka Japan unless tunataka kukiendeleza kiwanda cha magari yetu ya Nyumbu lakini sio ktk Kilimo.

Ndugu yangu Mkandara, kilichonichengua mimi ni kuwa huyu ni mtaalamu anayekuja kutupa ushauri jinsi ya "kuachana na jembe la mkono"..
 
Back
Top Bottom