Dar Es Salaam,
Mkuu unaposema:- nakumbuka Mahathir Muhammad alifanya hivyo hivyo na leo tunaiona Malaysia kwa viwanda...
Hivyo hivyo una maana gani kabla sijaweka hoja yangu.
Unajua mkuu unapozungumzia vitu haswa kule tulikotoka na kuchukulia mfano kwa kuitumia Japan nadhani utakuwa unatupotosha kabisa. Wachina walikuja funga mitambo na kuifanyia Ukarabati ndani ya contract ya kiserikali jambo ambalo ni la kawaida kabisa. Kuzorota kwa uchumi wetu hadi viwanda vikafa imetokana na mrengo wa kisiasa wa Mwalimu ambaye alitaka kwanza kuhakikisha tunaweza kuzalisha ndani bila kushindana na masoko toka nje ama kujali quality na technologia mpya maadam vitu hivyo vinapatikana kwa mahitaji ya wananchi ndani. Pili inajuulikana vizuri kuwa baadhi ya mazao yetu yalikosa soko baada ya kuanguka kwa bei za mazao hayo ktk soko la dunia, mfano sukari iliweza tengenezwa kirahisi na cheap kutoka mimea mingine nje ya sukari. Katani vile vile ilipata mrithi wa nyuzi za plastic zinazotokana na recycle ya plastic materials ambazo nchi hizo za Ulaya ilikuwa ikizitupa. Ukitazama mazao mengine ya chakula hawa jamaa waliweza vumbua mbegu zinazoweza kua na kuzalisha ktk mazingira yao na within muda mfupi sana wa jua bila kutegemea tena mazao yanayotoka Afrika mwaka hadi mwaka.
Sasa kama wao wameweza tafuta ufumbuzi wa mahitaji yao leo hii kweli tunabaki kulalamika kuwa sisi tulichemsha hali sisi hatukuangalia nini kinafanyika nje, hali hawa jamaa maabara zao - R&D siku zote ni ktk kutafuta ufumbuzi wa mahitaji yaani soko.
Hivyo maendeleo ya nchi za Ulaya yaliweza tazama mahitaji yao kwanza na kutafuta solution (invention) within their own necessity... Hiyo ilikuwa miaka hiyo ya Ujamaa wakati wa cold war na Uchumi unaotegemea siasa za mfungamano.
Sasa tulitazame swala hili kwa wakati huu maanake tusipokuwa tunatazama wakati, mkuu tutakuwa tunazidi kujisindika ktk ujuha zaidi. Viwanda vyetu vilikufa kutokana na kutoweza kushindana hasa baada ya mali toka nje ziliporuhusiwa kuingia nchini. Ni kweli wasomi wetu wengi walikuwa bado wakitumia technologia ya miaka ya 70 na pia monopoly power ambayo mashirika hayo yalikuwa yamejijengea kutokana na kuwa ya serikali hayana mshindani wala ubishi ktk uendeshaji wake. Palikuwa hakuna viatu isipokuwa vya Bora, hata dawa ya mswaki nakumbuka ilikuwa Tara mbaya kishenzi, na vingine vingi ambavyo vilikuwa bado ktk utaalam wa soko ambapo quality ilikuwa muhimu zaidi ya just demand. Na viwanda vyote vilivyokuwa ktk hali nzuri ama ya kati kiushindani ndivyo vimeweza kuendelea kufanya vizuri hadi leo na nakuhakikishia kuwa sii kweli viwanda kama General Tyre, Tanzania Breweries, Sigara, Africafe na kadhalika havikuwa vimechoka. Na pili hatuwezi kusema waliosababisha kuchoka kwa baadhi ya viwanda vyetu ni Wachina ama huduma zilizokuwa zikitolewa na Wachina isipokuwa ni sisi wenyewe pamoja na siasa yetu ya Kijamaa ambayo haikutazama wakati mbele yetu kiuchumi.
Kwa hiyo Mkuu hata kama huyo Mjapan akija na kutuongoza sijui viwanda gani vinahitajika sidhani kama ataweza pia kutuongoza jinsi ya kuviendesha maanake tulikopotea mwanzoni viwanda hivyo vilikuwa chini ya mikono yetu sio Mchina, Tazara hiyo hapo inadunda hadi leo..Je, huoni kama swala hapa sio utaalam wa kubuni viwanda na jinsi ya kuviendesha isipokuwa ni uwezo wa kutambua soko la nje na ndani wakati huo huo ukitumia gharama ndogo zaidi. Japna was a an economic Giant miaka ya 60 ya 70 (second largest economy in the world) lakini leo hii wao wenyewe wanakiri kuwa China na India zitawapita wala sii Muda mrefu. Hata Russia ambao walikuwa Wajamaa kuliko sisi leo hii wanashika nafasi ya 9 duniani. Hivyo tuwe wakweli kuangalia wakati na kitu gani kinaendelea ktk dunia hii ya Utandawazi...
If China na Russia waliokuwa wajamaa tena Ma komunist wameweza kuja juu kuliko hata nchi zilizokuwa za Kibepari imekuwaje sisi tuwe kila mwaka tunapiga hatua kurudi nyuma?...Wapi tunafanya makosa na haya makosa yanaweza rekebishwa vipi.
Now, kama huyu mtaalam anakuja tuambia ni wapi tunafanya makosa labda naweza ungana na wazo hili lakini bado tutabaki na mfujo wa pakacha kuwa tatizo la Mdanganyika sio kuanzisha miradi inayoweza kuzalisha bali ni uendeshaji wake kutokana na siasa kuingilia uzalishaji, mazingira na pengine hata tamaa za viongozi nje ya necessity.
Japan pamoja na mafanikio yao yote waliyopata, leo hii wamekwama inapofikia gharama za utengenezaji. Sasa isije huyu Mtaalam akaifananisha Japan na Tanzania ama kujaribu kuleta mabadiliko ya Kiuchumi Japan akayajaribu Tanzania kwani hatufanani hata kwa chembe. Japan ni matajiri na wenye techonologia ya hali ya juu kabla hata ya vita kuu ya dunia. As a fact sidhani kama huyu mama anaweza kutuambia mafanikio ya Japan ktk viwanda ambayo yanaweza kuigwa Tanzania maanake hatuna uwezo huo kabisa..
Labda kwa kuwapeni picha halisi nadhani bora tutazame wenyewe Wajapan wanasema nini ktk uchumi wao kisha tuyapime mahitaji yetu na jinsi ya sisi wenyewe kujaribu kutafuta mbinu mpya za kibiashara kulingana na soko huria. Nje ya hapo tutakuwa tunajidanganya kama kawaida yetu...
Someni report hii toka ministry of Economic, Trade and Industry of Japan (METI) labda tunaweza omba ama ku- join program zao za - ONE VILLAGE ONE PRODUCT!
http://www.meti.go.jp/english/report/downloadfiles/NewEconomicGrowthStrategy(outline).pdf
Watusaidie kuzalisha kile kinachotakiwa kwao (Japan) ama nchi za Asia toka Africa.
Mkuu unaposema:- nakumbuka Mahathir Muhammad alifanya hivyo hivyo na leo tunaiona Malaysia kwa viwanda...
Hivyo hivyo una maana gani kabla sijaweka hoja yangu.
Unajua mkuu unapozungumzia vitu haswa kule tulikotoka na kuchukulia mfano kwa kuitumia Japan nadhani utakuwa unatupotosha kabisa. Wachina walikuja funga mitambo na kuifanyia Ukarabati ndani ya contract ya kiserikali jambo ambalo ni la kawaida kabisa. Kuzorota kwa uchumi wetu hadi viwanda vikafa imetokana na mrengo wa kisiasa wa Mwalimu ambaye alitaka kwanza kuhakikisha tunaweza kuzalisha ndani bila kushindana na masoko toka nje ama kujali quality na technologia mpya maadam vitu hivyo vinapatikana kwa mahitaji ya wananchi ndani. Pili inajuulikana vizuri kuwa baadhi ya mazao yetu yalikosa soko baada ya kuanguka kwa bei za mazao hayo ktk soko la dunia, mfano sukari iliweza tengenezwa kirahisi na cheap kutoka mimea mingine nje ya sukari. Katani vile vile ilipata mrithi wa nyuzi za plastic zinazotokana na recycle ya plastic materials ambazo nchi hizo za Ulaya ilikuwa ikizitupa. Ukitazama mazao mengine ya chakula hawa jamaa waliweza vumbua mbegu zinazoweza kua na kuzalisha ktk mazingira yao na within muda mfupi sana wa jua bila kutegemea tena mazao yanayotoka Afrika mwaka hadi mwaka.
Sasa kama wao wameweza tafuta ufumbuzi wa mahitaji yao leo hii kweli tunabaki kulalamika kuwa sisi tulichemsha hali sisi hatukuangalia nini kinafanyika nje, hali hawa jamaa maabara zao - R&D siku zote ni ktk kutafuta ufumbuzi wa mahitaji yaani soko.
Hivyo maendeleo ya nchi za Ulaya yaliweza tazama mahitaji yao kwanza na kutafuta solution (invention) within their own necessity... Hiyo ilikuwa miaka hiyo ya Ujamaa wakati wa cold war na Uchumi unaotegemea siasa za mfungamano.
Sasa tulitazame swala hili kwa wakati huu maanake tusipokuwa tunatazama wakati, mkuu tutakuwa tunazidi kujisindika ktk ujuha zaidi. Viwanda vyetu vilikufa kutokana na kutoweza kushindana hasa baada ya mali toka nje ziliporuhusiwa kuingia nchini. Ni kweli wasomi wetu wengi walikuwa bado wakitumia technologia ya miaka ya 70 na pia monopoly power ambayo mashirika hayo yalikuwa yamejijengea kutokana na kuwa ya serikali hayana mshindani wala ubishi ktk uendeshaji wake. Palikuwa hakuna viatu isipokuwa vya Bora, hata dawa ya mswaki nakumbuka ilikuwa Tara mbaya kishenzi, na vingine vingi ambavyo vilikuwa bado ktk utaalam wa soko ambapo quality ilikuwa muhimu zaidi ya just demand. Na viwanda vyote vilivyokuwa ktk hali nzuri ama ya kati kiushindani ndivyo vimeweza kuendelea kufanya vizuri hadi leo na nakuhakikishia kuwa sii kweli viwanda kama General Tyre, Tanzania Breweries, Sigara, Africafe na kadhalika havikuwa vimechoka. Na pili hatuwezi kusema waliosababisha kuchoka kwa baadhi ya viwanda vyetu ni Wachina ama huduma zilizokuwa zikitolewa na Wachina isipokuwa ni sisi wenyewe pamoja na siasa yetu ya Kijamaa ambayo haikutazama wakati mbele yetu kiuchumi.
Kwa hiyo Mkuu hata kama huyo Mjapan akija na kutuongoza sijui viwanda gani vinahitajika sidhani kama ataweza pia kutuongoza jinsi ya kuviendesha maanake tulikopotea mwanzoni viwanda hivyo vilikuwa chini ya mikono yetu sio Mchina, Tazara hiyo hapo inadunda hadi leo..Je, huoni kama swala hapa sio utaalam wa kubuni viwanda na jinsi ya kuviendesha isipokuwa ni uwezo wa kutambua soko la nje na ndani wakati huo huo ukitumia gharama ndogo zaidi. Japna was a an economic Giant miaka ya 60 ya 70 (second largest economy in the world) lakini leo hii wao wenyewe wanakiri kuwa China na India zitawapita wala sii Muda mrefu. Hata Russia ambao walikuwa Wajamaa kuliko sisi leo hii wanashika nafasi ya 9 duniani. Hivyo tuwe wakweli kuangalia wakati na kitu gani kinaendelea ktk dunia hii ya Utandawazi...
If China na Russia waliokuwa wajamaa tena Ma komunist wameweza kuja juu kuliko hata nchi zilizokuwa za Kibepari imekuwaje sisi tuwe kila mwaka tunapiga hatua kurudi nyuma?...Wapi tunafanya makosa na haya makosa yanaweza rekebishwa vipi.
Now, kama huyu mtaalam anakuja tuambia ni wapi tunafanya makosa labda naweza ungana na wazo hili lakini bado tutabaki na mfujo wa pakacha kuwa tatizo la Mdanganyika sio kuanzisha miradi inayoweza kuzalisha bali ni uendeshaji wake kutokana na siasa kuingilia uzalishaji, mazingira na pengine hata tamaa za viongozi nje ya necessity.
Japan pamoja na mafanikio yao yote waliyopata, leo hii wamekwama inapofikia gharama za utengenezaji. Sasa isije huyu Mtaalam akaifananisha Japan na Tanzania ama kujaribu kuleta mabadiliko ya Kiuchumi Japan akayajaribu Tanzania kwani hatufanani hata kwa chembe. Japan ni matajiri na wenye techonologia ya hali ya juu kabla hata ya vita kuu ya dunia. As a fact sidhani kama huyu mama anaweza kutuambia mafanikio ya Japan ktk viwanda ambayo yanaweza kuigwa Tanzania maanake hatuna uwezo huo kabisa..
Labda kwa kuwapeni picha halisi nadhani bora tutazame wenyewe Wajapan wanasema nini ktk uchumi wao kisha tuyapime mahitaji yetu na jinsi ya sisi wenyewe kujaribu kutafuta mbinu mpya za kibiashara kulingana na soko huria. Nje ya hapo tutakuwa tunajidanganya kama kawaida yetu...
Someni report hii toka ministry of Economic, Trade and Industry of Japan (METI) labda tunaweza omba ama ku- join program zao za - ONE VILLAGE ONE PRODUCT!
http://www.meti.go.jp/english/report/downloadfiles/NewEconomicGrowthStrategy(outline).pdf
Watusaidie kuzalisha kile kinachotakiwa kwao (Japan) ama nchi za Asia toka Africa.