Sasa unadhani niliweza kuhesabuππ..mdada alieniokoa
ππ acha bhasi Paula Paul ,utaniuwa kwa kicheko, nasubiri nishuhudie hiyo siku πLol,
Have you ever seen someone pee her pants?
Naanzaje kuzama na sitakii sikia tena mambo ya kuogelea..π
πππ
Utakuwa una matatizo. Sisi wengine tukiambiwa tunapikiwa chakula fulani, kama tuko mbali na tukio, basi huko huko tulipo tunapiga shangwe za hatari, yaani furaha tupu.Mimi chakula kwangu ni kama Dawa...nakula ila sijawahi kufurahia misosi
ππππ
Well kwa watu smart. Hili swali lako litawafanya watu wengi wa spill details zao binafsi bila wao kujua.Hi.
Karibuni tuelezane mambo (facts) mbali mbali kutuhusu sisi, ambazo sio kila mtu anazijua.
Mimi naanza.
1. I am a Coma survivor. Nilipata ajali ya gari na nikaa coma kwa muda wa wiki mbili. Sikumbuki kitu chochote kuhusu hizo wiki mbili.
2. I am a landlord. Hii ni nyumba yangu ya juhudi zangu. Wapangaji wangu wananiheshimu sana. Niliona mmoja kanisave MAMA MWENYE NYUMBA nilijihisi natembea mawinguni.
3. Sijawahi kula chipsi mayai au mayai tangu nimezaliwa.
Karibuni.
Haha..
ππππ