Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Hauwezi kushuhudia maana hautanipeleka penye hao wadudu.[emoji23][emoji23] acha bhasi Paula Paul ,utaniuwa kwa kicheko, nasubiri nishuhudie hiyo siku [emoji23]
Sawa Zurri.Habari zake zinaanzia mbali sana. Historia imeshaandika na wino umekauka.
Kwa ufupi ni kiumbe ambacho natakiwa nikifanyie wema maradufu.
Tuko pamoja.Sawa Zurri.
Unaogopa ng'ombe?ππππππππππππaisee wewe ni mimi kabisa. .
yaani unaishi ndani yangu
ila mimi nina ogopa ng'ombe
.umeoaKiukweli namuogopa sana MWANAMKE.
fact maaan kuna jamaa mmoja wa miaka iyo uko ancient Greek kma sikosei alkufa kisa uoga wa maharage alkua anaogopa maharage kupita maelezoSio wanawake wote wana herpetophobia.
Na pia kuna wanaume waoga pia. Hivyo hiyo si sababu.
Hauwezi kushuhudia maana hautanipeleka penye hao wadudu.
Kinyume chake beba diapers kwa ajili yangu kama haupendi aibu Mla Bata.
.mkuuu apo kwenye kuona mahusiano ni kero kma tunalandana uwa nakinai mahusiano harak san sijui shida ni nnSina rafiki wa kusema huyu ni rafiki yangu, am mostly quite, sipendi makelele, sidumu katika mahusiano ya kimapenzi na muda mwingine huwa nayaona ni kero. Am good Hearted Man, nisiyejuta wala kulaumu kwa chochote nitakachoamua kukifanya. Sipendi kuwa Threatened au Threatening anyone, sipendi mikusanyiko.
Am Introvert.
Wait, maharage??? πππfact maaan kuna jamaa mmoja wa miaka iyo uko ancient Greek kma sikosei alkufa kisa uoga wa maharage alkua anaogopa maharage kupita maelezo
Tunafanana kwa 100%Naogopa Sana Radi kumamake, ajali ya majini na kifo Cha kuchinjwa
Naam..umeoa
π π you must be kidding man.πππaisee wewe ni mimi kabisa. .
yaani unaishi ndani yangu
ila mimi nina ogopa ng'ombe
.ehhh boss slkimbizwa na majambz skakimbia kufik sehem kuna shamba maharage akaogop kupita kwasababu anayaogopaWait, maharage??? [emoji23][emoji23][emoji23]
.apo zambia yanaliwa kama hayan akili nzuriNaogopa Sana washawasha Lile lenye manyoya wengine huyaita chavichavi aisee nikiliona sehemu nakosa amani kabisa.
Something is not right man, unahitaji kuonana na watu wa psychology haraka iwezekanavyo.Natamani ningeandika kwa ID nyingine.
Sijipendi, sioni sababu yakuishi. Sifurahii maisha na sijui ni kwa nini. Sina maisha mazuri ila ninakula na kulala kwangu na siombi cha mtu.
Ukiniona huwezijua kama moyo wangu umepondeka kwasababu ninadress smart, ninacheka inapobidi (sio sana), ninachangamka nikiamua.
Sina hofu ya aina yoyote kwenye maisha yangu.
Sijisikii tena kuchase ndoto zangu.
Tangu nipo shule ya msingi nimekua nikijaribu kujiua ila nashindwa. Sijui kama ngao ya maji ilikua haiui ila nikiwa darasa la sita nilikunywa ngao na sikufa wala sikuumwa tumbo. Vingine siwezi kuandika. Jaribio lamwisho la kujiua nililifanya nikiwa form six. Halikufanikiwa
Mwaka jana nilipata kazi serikalini, msimamizi mkuu wa ngazi ya wilaya akanitishia kunifuta kazi kwa sababu zisizo za msingi, nikamwambia me nimeshaifuta hiyo kazi kichwani, kazi kwako.
Mwaka huu mkurugenzi wa mamlaka niliyopo kwa muda alikuja kiukaguzi akaongea maneno machafu sana, akatusimangia watu chai ya ofisi nikamwambia mkuu ni chai ya rangi na chapati mbili kama unaona tunafaidi sana sema tukuagizie kuliko kuitolea macho ukudhani ni chai zenu za makao makuu.
Sijui kama mtoa mada alitaka haya au mengine, nowadays nina mashaka hata na uelewa wangu.
π kuna vitu vya ajabu na kustaajabisha sana duniani..ehhh boss slkimbizwa na majambz skakimbia kufik sehem kuna shamba maharage akaogop kupita kwasababu anayaogopa
Serious mkuu..mimi na ng'ombe daah tuko different. .huwa siwaamini kabisaπ π you must be kidding man.
ππππ ndio usinicheke madame..ng'ombe na waogopa tena sanaUnaogopa ng'ombe?πππππππππ