Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,118
Rafiki mayai ndio sitaki hata kuyanusa....Rafiki hata chips yai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki mayai ndio sitaki hata kuyanusa....Rafiki hata chips yai?
Hapana mkuu,Ww bila Shaka una nyota ya Mizani - Libra.
Tanzania kuna watu milioni 60 almost, sidhani kama itakuwa rahisi kiasi hicho cha kumjua kila mtu kati ya watu 60m.Well kwa watu smart. Hili swali lako litawafanya watu wengi wa spill details zao binafsi bila wao kujua.
Details hizi zinaweza kuchukuliwa na watu au mtu .. ana akatengeneza character yako kupitia uliyo yasema.
Pia inaweza kutumika kumsoma muhusika na id yake.
So to me no thanks man. Ningeweza but it too risky kuweka character yangu on public.
Kijana unaogopaje mboga?😄😄😄😄 ndio usinicheke madame..ng'ombe na waogopa tena sana
Ngoja na mimi niandike.
Tangu darasa la 3 hadi la 5 nilikuwa "monitor".
Darasa la sita na la saba nilikuwa " Dada mkuu".
Form 1 na form 2 nilikuwa "Monitress" .
Form 3 nikawa kiongozi wa michezo na Monitress.
Form 4 nikawa kiongozi wa chakula na Monitress.
Five na six nilikuwa mweka hazina wa kikundi chetu cha dini.
Chuo nilikuwa CR miaka yote na Mbunge mwaka wa pili.
Kazini Mimi ni mwalimu wa nidhamu.
Umezaliwa tarehe ngapi?Sina rafiki wa kusema huyu ni rafiki yangu, am mostly quite, sipendi makelele, sidumu katika mahusiano ya kimapenzi na muda mwingine huwa nayaona ni kero. Am good Hearted Man, nisiyejuta wala kulaumu kwa chochote nitakachoamua kukifanya. Sipendi kuwa Threatened au Threatening anyone, sipendi mikusanyiko.
Am Introvert.
To be honest sindano naziogopa sana mazee
Mimi sio mnoko, ni mwelewa sana na ninawaelekeza kwa hali ya kirafiki sana.Mara nyingi walimu wa nidhamu huwa wanakuwa wanoko Sana, wewe kwako ikoje mkuu?
Kuna methods za kumfaham tu . America wana 300+ plus ,mpaka leo NSA wana read emails na sms za watu ku detect wenye nia mbaya. And wanaweza mpin point na kumpata.Tanzania kuna watu milioni 60 almost, sidhani kama itakuwa rahisi kiasi hicho cha kumjua kila mtu kati ya watu 60m.
Siwew ku state impact yangu. Behind id yangu kuna mengi. Siwez ku state hapa because it is public and sio safe kwa upande wanguWewe kwa impact gani uliyonayo mapka unajiogopa Ivyo?
So hard kwa kweli.Naogopa sana nyoka, hata picha ya nyoka sitaki kuiona.
It's so hard for me to make friends kwa hiyo nikipata rafiki huwa najitahidi sana kuwa loyal
Sipendi watu wenye maneno mengi kwa hiyo tukiwa wote ukawa unapiga sana domo usishangae nachukua gazeti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuzingue?Sipendi fujo zozote zile,
Mwepesi sana wa kusahau vitu
Hapana bhana......Utanipa shida kusolve.Nikuzingue?