Kwizer
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 420
- 688
02/01
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
02/01
😀😀 onea na numbisa na carba wanaweza kukusaidiaNitafutie dawa basi
mkuu kabla ya kuwa mboga ni mnyama yuleKijana unaogopaje mboga?
😃😃acha niwe boya tu. .lakini ng'ombe kwangu hiyo ni habari nyingine mkuuUjanja wote huo ng'ombe anakukalisha..😂😂
We boya kweli..
Hapa solvers ni mods tu...Hapana bhana......Utanipa shida kusolve.
kingine napenda sana kucheka
basi sasa mwenzio mimi nyoka nimewaua sana sinaga hofu nao. .ila niko na tension nao sana. .nilipokuwa na umri wa miaka 12 niliwahi kumuua nyoka nilimkuta katika midizi nilikuwa nakojoa kumbe katika ili midizi alikuwepo nikawa namkojolea si_akajitokeza nikaokota fimbo kuu kuu nikamchapa nayo alikuwa na urefu wa mikono ya kijana wa miaka 15s. .Ng'ombe nilikuwa namuogopa nilivyokuwa mdogo, nilianza kuwazoea taratibu hadi leo sina uoga nae. Simpendi Nyoka, sio kwamba namuogopa, wala sitakagi utani na hiko kiumbe tena ukitaka unichukie maisha yako yote. Niletee utani wa hiko kitu
mimi naamini 😃😃Hapa solvers ni mods tu...
Eeh kwenye kucheka huko tupo wengi, eti wenye tafiti zao wanasema sisi tunaopenda sana kucheka ni wapweke moyoni. Siamini lakini
😃😃i have so fukn weak heart....i am so sensitive....i love easily
i get irritated easily too
i have a wife and kids but still love my ex too much that everyday i hope one day we will get back together
Me sio sana na ingawa muda mwingi nakuwa alone.mimi naamini 😃😃
maana mimi nimpweke sana
Sina rafiki wa kusema huyu ni rafiki yangu, am mostly quite, sipendi makelele, sidumu katika mahusiano ya kimapenzi na muda mwingine huwa nayaona ni kero. Am good Hearted Man, nisiyejuta wala kulaumu kwa chochote nitakachoamua kukifanya. Sipendi kuwa Threatened au Threatening anyone, sipendi mikusanyiko.
Am Introvert.
😃😃 ona sasa. mimi mwenzio sasa. sipendi vidonge yaani navichukia mnooo. .nilipokuwa mdogo nikiumwa then nikapewa vidonge nilikuwa nakwenda kuvitupa toilet then navi flash viende na maji. .. sababu kubwa haswaa ya mimi kuwa hivyo ni kwa sababu nachukia sana vitu vyenye ladha ya uchunguTo be honest sindano naziogopa sana mazee
ni hali ya kuwa peke yako peke yako bila kampani. . iwe ya mpenzi au rafikiMe sio sana na ingawa muda mwingi nakuwa alone.
Hivi kwanza upweke ni nini?
aisee.. kuna watu huwa wana bahati 😊😊1. I survived a very toxic marriage and One thing u won’t ever believe is that I still love that man it’s just that I can’t go back and stay with him anymore but he was the only guy I ever loved in my entire life
basi una fanana na mimi piaKwizer tunafanana kwa 95%
Kuwa alone ni upweke? Me mbona naweza kuwa alone lakini nikawa happy huo upweke una'apply vipi hapo...ni hali ya kuwa peke yako peke yako bila kampani. . iwe ya mpenzi au rafiki
Hata mimi siamini,Hapa solvers ni mods tu...
Eeh kwenye kucheka huko tupo wengi, eti wenye tafiti zao wanasema sisi tunaopenda sana kucheka ni wapweke moyoni. Siamini lakini