unawajua CARTELS?1. Freemason ni nini?
2. Ni ipi hiyo teknolojia ya freemason?
3. Kuna ushahidi gani kwamba Frequency, Waves, Wireless, Recording, na CD ni teknolojia ya freemason ?
Elezea kwa ufupi tu mkuu nitakuelewa na wengine utakuwa umetupa mwanga!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848]The craziest conspiracy theory has got to be the existence of an all knowing, all capable and all loving God.
It doesn't get any crazier than that.
Sent from my typewriter using Tapatalk
"Osama ni mtu mdogo sana".
" wengi walikuwa wanampinga".
" wachache ndio walikuwa wanamkubali".
Come on, How can I take your question seriously?
Unawajua watoto wabishi? Atasema MIMI nafagia vizuri, I know what am doing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Before someone uncovered the truth to the world about the Atomic City, and Los Alamos, before Hiroshima and Nagasaki got bombed by nukes everything about atomic bomb and Atomic City seemed to be a conspiracy theory.
Check it yourself Atomic City, USA: how once-secret Los Alamos became a millionaire's enclaveBefore someone uncovered the truth to the world about the Atomic City, and Los Alamos, before Hiroshima and Nagasaki got bombed by nukes everything about atomic bomb and Atomic City seemed to be a conspiracy theory.
[emoji23] [emoji23]Nlilog out account zangu zote due to hard situation nayopitia now
Ila kwenye kusoma soma hapa nkakuta mtu anabishana na Zurri [emoji23][emoji23]
Dah hayuko serious
Sent using Jamii Forums mobile app
namba 4 nadhani kuna conspirancy hapo or whatever the f*c it is...... haiwezekani ndege ipotee tu hewani kwa technology iliyopo leo!Sijui kama haya yameshatajwa:
1. Rais wa Marekani huwa hachaguliwi na wapiga kura siku ya kupiga kura, bali, kuna kikundi cha watu [kama Freemason...whatever the fcuk that is] ambao ndo huamua nani awe Rais. I say it’s bullshit just like the rest of the conspiracy theories.
2. Kile kifimbo cha Nyerere eti hakuna mtu aliyekuwa anaweza kukibeba zaidi yake yeye. Mfano, eti alipokuwa anakiacha mezani, hakuna mtu mwingine aliyekuwa na uwezo wa kukinyanyua. Eti kilikuwa ni kizito kupita maelezo. Bullshit.
3.The legendary, the late great Tupac Amaru Shakur, faked his own death. Over the years there have been so many Tupac ‘sightings’. Mara sijui anaishi Cuba. Mara kaonekana huko Belize. Mara yupo Ethiopia. Conspiracy theorists ni kama hawana[ga] common sense. Imagine mtu kama Tupac with his big mouth eti akae kimya huko aliko na hizi social media platforms zilizopo. Pata picha Tupac angekuwa hai halafu ana platform ya Twitter. Pac was woke before woke was woke. Way ahead of his time.
4. Kupotea kwa ndege ya Malaysia, MH370 miaka 6 iliyopita. Ndege hiyo iliyokuwa inatokea Kuala Lumpur kuelekea Beijing, China, ilipotea tarehe 8, Machi 2014!
Mpaka leo hakuna ajuaye kilichoitokea ndege hiyo zaidi ya kwamba ilipotea.
Kukosekana huko kwa sababu iliyoifanya ndege hiyo kupotea ndiko kumetoa mwanya kwa kila aina ya conspiracy theory. Kuanzia kumezwa na black hole hadi kutekwa na Warusi...Putin [emoji1787]. Bullshit.
kifo cha osama ni story ya upande mmoja, kwa jinsi US wanavyopenda sifa sidhani kama kuna uhalisia katika maneno yao!Osama alikuwa ni muislam.
Islamic law requires burial within 24 hrs
Maziko waliyomfanyia ya kuzikwa baharini ni aina ya maziko ambayo uislam unayakubali if was the probably option available.
Sababu ya kumzika baharini ni kuepusha eneo lake la maziko to become a shrine or monument to him for other terrorists.
Kumbuka al-Qaeda hawakupendezwa na hiko kitendo cha kuuliwa.
Kwanini unadhani ilikuwa ni lazima kupiga picha ya marehemu na kuwawekea mtandaoni? Hata marehemu anastahili kustiriwa haijalishi enzi za uhai wake alikuwa tishio vipi.
So kumzika mapema, bila picha, na baharini was the only way they could avoid committing an offense against Islam.
namba 4 nadhani kuna conspirancy hapo or whatever the f*c it is...... haiwezekani ndege ipotee tu hewani kwa technology iliyopo leo!
naamini kuna wajanja wachache wanajua what happened ila hawataki kutoa taarifa!
...... pengine hawakumuua siku ile........[emoji16][emoji16][emoji16]Labda hawakutaka hata alama yake ibaki.
Na pengine wana picha ila hawajataka kuziachilia kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Pangine waliona wafuasi wake wangeona hizo picha pangeinua mihemko isiyo ya lazima.
Pengine waliamua kutokuziachia ili wafuasi waendelee kuamini hajafa. Aaahhh hata sijui, ila nina imani wana sababu ya kufanya vile.
Nyani, sina uthibitisho zaidi ya kujiuliza maswali kama binadamu wa kawaida tu......Well, sawa. Ili mradi kama unaweza tu kuthibitisha unachosema au unachokidhania....
Zaidi ya hapo, ni mwendelezo ule ule tu wa porojo za vijiweni.
Nyani, sina uthibitisho zaidi ya kujiuliza maswali kama binadamu wa kawaida tu......
huwa najiuliza, ilikuaje ndege kubwa vile, ipoteee tu bila kunaswa na vyombo vya kisasa vilivyopo duniani leo, na wasijue hata ilikopotelea!
hakuna mtu mpaka leo amewahi kuelezea nini kiliikumba ile ndege, na hapo ndipo maswali yanaibuka!
Hiyo ndege mbona vipande viliokotwa pwani ya Tanzania.Nimekupata.
Nami nina maswali kama hayo hayo yako.
Yaani kweli kabisa na teknolojia iliyopo iweje hilo lidege likubwa hivyo lipotee tu hivi hivi bila hata kuwepo na fununu limepotelea wapi?
Ila kwa upande mwingine, teknolojia nayo si mwarobaini wa kila kitu.
Kuna mambo mengi tu ambayo binadamu hatuyajui.