There is no HIV virus ,it's just a conspiracyDo you know there are some people who can't get AIDS? although they might have the virus(HIV) in their bodily fluid?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ipiFuatilia kuhusu royal family utagundua kulikuwako na weusi wengi tu hapa siongelei (half cast) naongelea pure blacks.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kaisha na TB conspiracy Ina state as HIVMany people have died/ dying from it. But some people still believe it is hoax.
We'll be waiting for more.
Finland nimefika 2009 ,inakuaje haipoHiyo ya Michelle Obama hata mimi ilinishangaza sana. Conspiracy theories za ajabu kwangu ni;-
1. Eminem amefariki toka mwaka 2006 kwa drug overdose. Huyu tunayemuona sasa ni clone tu.
2. Paul McCartney amefariki toka mwaka 1967 kwa ajali ya gari. Huyu tunayemuona sasa sio mwenyewe.
3. Baadhi ya watu maarufu ni mijusi kiuhalisia na wala si binadamu.
4. WaIran ndio waliomuua Michael Jackson ili kuhamisha attention ya dunia ambayo ilikuwa inafuatilia ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2009.
5. Finland haipo.
6. Robert De Niro ndie aliyempiga risasi Malala Yousafzai.
7. Ile ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea March 2014 ndio MH17 iliyodunguliwa kule Ukraine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wametoka wapi sasa?Umewahi kuona picha zake akiwa mjamzito? Wanasema wale watoto hajawazaa yeye.
Ulishaandika huo uzi? Kama tayar naomba unitag.Sawa kabisa. Nipo safarini nikitulia tuu nakuja kuandika kuhusu hili.
Nipe masaa matano Mbele.
Kwahiyo now tuko wapiWanasema Mayan calendar na Mandela Effect na mambo mengine kibao yanayoonesha dunia iliisha 2012. Mimi binafsi naamini It did end.
Nilitaka kuandika hapa hapa lakini kadri nilivojaribu nilishindwa namna ya kuelezea.
Nilitaka kuandika hapa hapa lakini kadri nilivojaribu nilishindwa namna ya kuelezea.
Sawa ngoja nijaribuHahaha usitufanyie hivyo bhana ebu jaribu tutakuelewa.
Eti kuna conspiracy kwamba Kvant inatengenezwa kwa mkojo wa kichecheTusiojua kiinglish tunaruhusiwa kuchangia chochote?
Yaani kama Doomsday conspiracy... mambo ya UFO?
Kama tunaruhusiwa basi muwege mnatutafsiria mlichoandika maana wengine wazazi wetu hawakuwa na ada ya kutusomesha St. Mtakatifu english medium academy schools