What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Hiyo ya Michelle Obama hata mimi ilinishangaza sana. Conspiracy theories za ajabu kwangu ni;-

1. Eminem amefariki toka mwaka 2006 kwa drug overdose. Huyu tunayemuona sasa ni clone tu.

2. Paul McCartney amefariki toka mwaka 1967 kwa ajali ya gari. Huyu tunayemuona sasa sio mwenyewe.

3. Baadhi ya watu maarufu ni mijusi kiuhalisia na wala si binadamu.

4. WaIran ndio waliomuua Michael Jackson ili kuhamisha attention ya dunia ambayo ilikuwa inafuatilia ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2009.

5. Finland haipo.

6. Robert De Niro ndie aliyempiga risasi Malala Yousafzai.

7. Ile ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea March 2014 ndio MH17 iliyodunguliwa kule Ukraine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Finland nimefika 2009 ,inakuaje haipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusiojua kiinglish tunaruhusiwa kuchangia chochote?

Yaani kama Doomsday conspiracy... mambo ya UFO?

Kama tunaruhusiwa basi muwege mnatutafsiria mlichoandika maana wengine wazazi wetu hawakuwa na ada ya kutusomesha St. Mtakatifu english medium academy schools
Eti kuna conspiracy kwamba Kvant inatengenezwa kwa mkojo wa kicheche

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom