What are some crazy interesting conspiracy theories?

Kufagia ndani usiku kunaondoa riziki nyumbani

Kula na kisu kunasababisha kichomi

Kurusha chumvi jikoni wakati bundi analia karibu na nyumba usiku

Hiyo ya kwanza wazee walikua wana avoid kufagia vitu vya thamani ndani usiku since hakukua na umeme

Ya pili walikua wana avoid mtu kujikata ukila na kisu kwani hasa watoto walipendelea kula na kisu baada ya kukata eg tunda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi muuliza mlokole flani kama ulivyosema akanijibu kuwa "wanavikomboa kabla hawajatumia" aisee nilienda chekea mbaliiiii
 
The craziest conspiracy theory has got to be the existence of an all knowing, all capable and all loving God.

It doesn't get any crazier than that.

Sent from my typewriter using Tapatalk

You mean there is no God?
 
Around the tree running with that speed of light you gonna f**k yourself
 

Why was he and he only chosen for the conspiracy?
 
Ya kurusha chumvi bundi akiimba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…