What if New World Order becomes true?

What if New World Order becomes true?

Ha ha ha ha....Ndio maana nimesema mada kama hivi utakuta vijukuu vya kahaba la Kimarekani Hellen G White ndio wanajadili...

Sasa nyie masalia mnatuletea utumbo wenu wa lessoni huku JF kww myths zisizo na msingi....

What a fool..

uwezo wako wa kufikiri ni mdogo
 
Ni KWELI lkn kauli zake zinaweza kumfanya mtu akatoa maneno mazito juu ya Imani Yake!

Hivi we zuzu nini kipya nyie wafuasi wa Kahaba Hellen G White ambacho utaniambia sikijui........???? Mna kipi kipya we bogus...??
 
umejibu wapi unaijua 666?


nijiandae na nini?wakati nipo vitani.

mlaaniwa ni mtu wa aina gani?


let it be cult because your nobody to JUDGE

Kwahiyo upo vitani kupinga maamuzi ya General Conference inayowapa misaada kila siku....

Hili dhehebu lenu soon tutalisahau kwenye uso wa dunia.....Soooon

Hatuwezi kuwa na dhehebu linalojiita la kikristo angali wala hata chembe ya Ukristo hamna....Hatuwezi kuona Ukristo unadhalilishwa na Wasabato(cult)......
 
Nyie ndo mnatakiwa kusamehewa kwa kumkufuru Roho Mtakatifu na Yesu Kristo.....

Mama Hellen G White amewaangamiza nyie viumbe....

yesu kristo ndo alikufundisha kuita kiumbe kahaba kwa misingi ipi?
 
Nafikiri humfahamu huyu Kahaba wa Kimarekani Hellen G White...!!!! Ukitaka nikufahamishe hapa huu uzi utaomba mods waufunge fastaa...

namfahamu kamamwanamke na siyo kahaba


haina haja namfahamu
 
Ukweli gani we mlaaniwa...??? Ukweli wa masomo ya Lessoni au..!!?

Hebu wacha kunitania bana....



Vp kuhusu katekisimu?

Au Mithale ya waumini? HAYO mavitabu yamejaa uongo tu!

Vp kuhusu ROZARI? na sala ya Maria?

Tangu lini mtu ukaomba kwa mtu aliekufa KM Bikira Maria ETI akuombee wewe mkosefu? MTU MFU AKUOMBEE? huo si wendawazimu kabisa?!


Alafu wewe tedo unaona ETI unaakili!?!
 
kweli ni nini?

sipo kwenye utani
Aliyekuambia kweli kwako yaweza kuwa kweli kwangu ni nani...??/

Aliyekuambia nafanya utani hapa ni nani...??? Hiyo unayuoita ...."ukweli ndo huo".....Kwangu mimi ni uongo mkubwa....Kwahiyo usijishaue hapa..
 
Vp kuhusu katekisimu?

Au Mithale ya waumini? HAYO mavitabu yamejaa uongo tu!

Vp kuhusu ROZARI? na sala ya Maria?

Tangu lini mtu ukaomba kwa mtu aliekufa KM Bikira Maria ETI akuombee wewe mkosefu? MTU MFU AKUOMBEE? huo si wendawazimu kabisa?!


Alafu wewe tedo unaona ETI unaakili!?!


Hapo kwenye red: Kwako wewe mfuasi wa Kahaba wa kimarekani ni uongo...Kwangu mimi ni kweli tupu..

Tusipotezeane muda hapa...nyie cults
 
namfahamu kamamwanamke na siyo kahaba


haina haja namfahamu

Sasa ndioninakwambia sasa huyo aliyewapotosha alikuwa Kahaba ambaye alipata maono ya kuzimu akaja na tabiri zake za kuzimu....Tabiri hizo ziliwaangamiza maelfu ya Wasabato....Mpaka leo dunia haitakaa kulisahau tukio lile la kusikitisha lililojulikana kama GREAT DISAPPOINTMEN.....

Vipi hayo unayafahamu...????
 
Hapo kwenye red: Kwako wewe mfuasi wa Kahaba wa kimarekani ni uongo...Kwangu mimi ni kweli tupu..

Tusipotezeane muda hapa...nyie cults



Umeona eeeeh?

Mithale ya waumini, Katekisimu. Vimejaa upotoshaji Na uongo mtupu!


Mbona SALA YA SALAMU MARIA HUIONGELEI?

Wewe binadamu unamuomba MUNGU kupitia mtu aliekufa unatofauti gani Na waganga Wa kienyeji?

Ni upagani mtupu. ETI Maria mama Wa MUNGU utuombee SISI wakosefu! Mtu amekufa atakuombea vp? Huyo ni MUNGU KWELI unaemuomba? Au ni MUNGU MFU? Ibada ikiwa MFU Na MUNGU hua MFU!

Unaabudu kile usichokijua!

Lkn SISI twaabudu kwa MUNGU alie hai!

Wapi kwenye biblia kunaonesha Bikra Maria Yuko MBINGUNI mpk akuombee wewe tedo ?
 
Last edited by a moderator:
Aliyekuambia kweli kwako yaweza kuwa kweli kwangu ni nani...??/

Aliyekuambia nafanya utani hapa ni nani...??? Hiyo unayuoita ...."ukweli ndo huo".....Kwangu mimi ni uongo mkubwa....Kwahiyo usijishaue hapa..

biblia yako inasemaje kuhusu mpinga kristu
 
Back
Top Bottom