thinky
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,121
- 264
ni kweli lkn kauli zake zinaweza kumfanya mtu akatoa maneno mazito juu ya imani yake!
ni wakumsamehe 7*70
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli lkn kauli zake zinaweza kumfanya mtu akatoa maneno mazito juu ya imani yake!
Ha ha ha ha....Ndio maana nimesema mada kama hivi utakuta vijukuu vya kahaba la Kimarekani Hellen G White ndio wanajadili...
Sasa nyie masalia mnatuletea utumbo wenu wa lessoni huku JF kww myths zisizo na msingi....
What a fool..
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo
Ni KWELI lkn kauli zake zinaweza kumfanya mtu akatoa maneno mazito juu ya Imani Yake!
umejibu wapi unaijua 666?
nijiandae na nini?wakati nipo vitani.
mlaaniwa ni mtu wa aina gani?
let it be cult because your nobody to JUDGE
ni wakumsamehe 7*70
Kwa vigezo gani.....
Hivi we zuzu nini kipya nyie wafuasi wa Kahaba Hellen G White ambacho utaniambia sikijui........???? Mna kipi kipya we bogus...??
Nyie ndo mnatakiwa kusamehewa kwa kumkufuru Roho Mtakatifu na Yesu Kristo.....
Mama Hellen G White amewaangamiza nyie viumbe....
yesu kristo ndo alikufundisha kuita kiumbe kahaba kwa misingi ipi?
ukweli haupingiki
Nafikiri humfahamu huyu Kahaba wa Kimarekani Hellen G White...!!!! Ukitaka nikufahamishe hapa huu uzi utaomba mods waufunge fastaa...
Ukweli gani we mlaaniwa...??? Ukweli wa masomo ya Lessoni au..!!?
Hebu wacha kunitania bana....
Ukweli gani we mlaaniwa...??? Ukweli wa masomo ya Lessoni au..!!?
Hebu wacha kunitania bana....
Aliyekuambia kweli kwako yaweza kuwa kweli kwangu ni nani...??/kweli ni nini?
sipo kwenye utani
Vp kuhusu katekisimu?
Au Mithale ya waumini? HAYO mavitabu yamejaa uongo tu!
Vp kuhusu ROZARI? na sala ya Maria?
Tangu lini mtu ukaomba kwa mtu aliekufa KM Bikira Maria ETI akuombee wewe mkosefu? MTU MFU AKUOMBEE? huo si wendawazimu kabisa?!
Alafu wewe tedo unaona ETI unaakili!?!
namfahamu kamamwanamke na siyo kahaba
haina haja namfahamu
Hapo kwenye red: Kwako wewe mfuasi wa Kahaba wa kimarekani ni uongo...Kwangu mimi ni kweli tupu..
Tusipotezeane muda hapa...nyie cults
Aliyekuambia kweli kwako yaweza kuwa kweli kwangu ni nani...??/
Aliyekuambia nafanya utani hapa ni nani...??? Hiyo unayuoita ...."ukweli ndo huo".....Kwangu mimi ni uongo mkubwa....Kwahiyo usijishaue hapa..
biblia yako inasemaje kuhusu mpinga kristu