What is energy in spirituality

Tuelewane kwanza hapo kwenye kujua na imani maana ndio kwenye tatizo, umetoa mifano kadhaa ya imani na hadi unasema imani zote zinaweza kuthibitika sasa ajabu tunapokuja kwenye imani ya Mungu au mambo ya spirtual unasema unataka kujua na si kuamini.
Hongera mkuu, umewapa darasa zuri hadi wameisadiki imani japo mwanzo waliikanusha.
 
Hamuelewi hata mchokizungumza ni kupoteza mda wangu tu .
Mkuu, mijadala ni sehem ya kushare, kujifunza na kubadilishana maarifa, hivo kutofautiana mitizamo ni kawaida, kitu kisichofaa ni matusi.
 
Mkuu, mijadala ni sehem ya kushare, kujifunza na kubadilishana maarifa, hivo kutofautiana mitizamo ni kawaida, kitu kisichofaa ni matusi.
Ni kweli kutofautiana mitazamo ni kawaida ndio maana kuna baadhi ya atheists wanaamini kuhusu ghosts na hutokana na personal experiences, ila atheists wengine wanaweza kuona hao atheists hawako sahihi kwa mtazamo wa kwamba ukiwa atheist hutakiwi kuamini vitu kama hivyo.
 
To cut he story short.....
Hata formula zenyewe zinasema tufanye kazi ili kupata Energy.....



Halafu ukiongezea Efficiency, lazima utakutana na gari la kubebea hela......


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…