Hongera mkuu, umewapa darasa zuri hadi wameisadiki imani japo mwanzo waliikanusha.Tuelewane kwanza hapo kwenye kujua na imani maana ndio kwenye tatizo, umetoa mifano kadhaa ya imani na hadi unasema imani zote zinaweza kuthibitika sasa ajabu tunapokuja kwenye imani ya Mungu au mambo ya spirtual unasema unataka kujua na si kuamini.
Hamuelewi hata mchokizungumza ni kupoteza mda wangu tu .Hongera mkuu, umewapa darasa zuri hadi wameisadiki imani japo mwanzo waliikanusha.
Mkuu, mijadala ni sehem ya kushare, kujifunza na kubadilishana maarifa, hivo kutofautiana mitizamo ni kawaida, kitu kisichofaa ni matusi.Hamuelewi hata mchokizungumza ni kupoteza mda wangu tu .
Ni kweli kutofautiana mitazamo ni kawaida ndio maana kuna baadhi ya atheists wanaamini kuhusu ghosts na hutokana na personal experiences, ila atheists wengine wanaweza kuona hao atheists hawako sahihi kwa mtazamo wa kwamba ukiwa atheist hutakiwi kuamini vitu kama hivyo.Mkuu, mijadala ni sehem ya kushare, kujifunza na kubadilishana maarifa, hivo kutofautiana mitizamo ni kawaida, kitu kisichofaa ni matusi.
πππKwenye hizi topics ngumu huwezi kuwaona WAZEE WA MBUNYE, wanapita kwa kasi huku wamefumbata makalio... wanaona nyota nyota tu.
Hapa hawaelewi kitu, wanasoma huku wameshikilia vidindo vyao, mara paap wametoka nduki kwenda kusoma udaku na penzi la kimasikhara.
Cc: Lloyd Munroe Extrovert Tlaatlaah DR Mambo Jambo Labella secretarybird ChoiceVariable min -me mshamba_hachekwi Kalpana Dejane @Dr mariposa binti kiziwi