min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sasa hapo kwenye uthibitisho wa spiritual na uwepo wa Mungu kwa mujibu wa vitabu na sifa zake hapo ndio kimbembe.Tuko pamoja mkuu!!
Uko wapi agiza chochote nitalipa kwa simu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo kwenye uthibitisho wa spiritual na uwepo wa Mungu kwa mujibu wa vitabu na sifa zake hapo ndio kimbembe.Tuko pamoja mkuu!!
Uko wapi agiza chochote nitalipa kwa simu.
Imani uliyozungumzia ni kufika safari na sio kutokufika safari, mkuu muhimu hapa ni kujua nafasi ya imani katika maisha yetu.Waliofika imethibitika wamefika ambao hawakufika pia imethibitika hawakufika, kwa hiyo hiyo imani kwa pande zote mbili imethibitika.
Hiyo haiji tokea!!Sasa hapo kwenye uthibitisho wa spiritual na uwepo wa Mungu kwa mujibu wa vitabu na sifa zake hapo ndio kimbembe.
Na imani zote unaweza kuzithibitisha shida hapo kwenye spiritual Sijui Mungu , ndio ni imani kuthibitisha sasa.Imani uliyozungumzia ni kufika safari na sio kutokufika safari, mkuu muhimu hapa ni kujua nafasi ya imani katika maisha yetu.
Ni ipi nafasi ya Imani katika maisha yetu?Imani uliyozungumzia ni kufika safari na sio kutokufika safari, mkuu muhimu hapa ni kujua nafasi ya imani katika maisha yetu.
Kutokuamka kwao ni matokeo ya kinyume na walivyoamini.Pia kutokuamka kwao ni uthibitisho kuwa unaweza kulala pia usiamke.
Matokeo ya negative au positive yote hayo ni uthibitisho wa imani kiujumla wake.Kutokuamka kwao ni matokeo ya kinyume na walivyoamini.
Vizuri kutambua nafasi ya imani tofauti na vile mnavyosemaga hamtaki kuamini mnataka kujua.Na imani zote unaweza kuzithibitisha shida hapo kwenye spiritual Sijui Mungu , ndio ni imani kuthibitisha sasa.
Nataka kujua Mungu yupo? Kuamini tu unaweza kuchanganyikiwa, kwa sababu wapo Mungu zaidi 1000 na kila imani inasema Mungu wao ndio wakweli , katika hali kama hii nataka kujua kwa uthibitisho kamili na sio blabla tu.Vizuri kutambua nafasi ya imani tofauti na vile mnavyosemaga hamtaki kuamini mnataka kujua.
Sasa mtu kwa imani yake kwa Mungu akafanya maombi kwa Mungu na akapata matokeo ya kweli vilevile alivyoomba je hii haithibitishi imani ya uwepo wa Mungu?Matokeo ya negative au positive yote hayo ni uthibitisho wa imani kiujumla wake.
Si umesema imani zinathibitika sasa kuchanganyikiwa kunatoka wapi?Nataka kujua Mungu yupo? Kuamini tu unaweza kuchanganyikiwa, kwa sababu wapo Mungu zaidi 1000 na kila imani inasema Mungu wao ndio wakweli , katika hali kama hii nataka kujua kwa uthibitisho kamili na sio blabla tu.
Thibitisha uwepo wa spiritual na Mungu?Si umesema imani zinathibitika sasa kuchanganyikiwa kunatoka wapi?
Unaweza usisali na ukapata matokeo na unaweza kusali na usipate matokeo , kwa sababu mchakato wa matokeo unategemea mambo mengi .Sasa mtu kwa imani yake kwa Mungu akafanya maombi kwa Mungu na akapata matokeo ya kweli vilevile alivyoomba je hii haithibitishi imani ya uwepo wa Mungu?
Tuelewane kwanza hapo kwenye kujua na imani maana ndio kwenye tatizo, umetoa mifano kadhaa ya imani na hadi unasema imani zote zinaweza kuthibitika sasa ajabu tunapokuja kwenye imani ya Mungu au mambo ya spirtual unasema unataka kujua na si kuamini.Thibitisha uwepo wa spiritual na Mungu?
Naona tuishie hapa kwa sababu nimeona hausomi ninachokiandika bali unawaza unachotaka kujibu tu , kwa hiyo nakua kama narudia rudia maelezo, asante 🙏Tuelewane kwanza hapo kwenye kujua na imani maana ndio kwenye tatizo, umetoa mifano kadhaa ya imani na hadi unasema imani zote zinaweza kuthibitika sasa ajabu tunapokuja kwenye imani ya Mungu au mambo ya spirtual unasema unataka kujua na si kuamini.
Sasa kuna tofauti gani na kuamini kufika safari kisha wakawa wenye kufika na wengine wasifike hiyo safari?Unaweza usisali na ukapata matokeo na unaweza kusali na usipate matokeo , kwa sababu mchakato wa matokeo unategemea mambo mengi .
Thibitisha uwepo wa Mungu.
Hapana ni wewe ndio hauzingatii unachoandika unaandika ili tu kupinga tu imani ya Mungu, mimi nasoma maelezo yako kwa makini na kuyaelewa.Naona tuishie hapa kwa sababu nimeona hausomi ninachokiandika bali unawaza unachotaka kujibu tu , kwa hiyo nakua kama narudia rudia maelezo, asante 🙏
Sawa mjadala nawewe umetosha.Hapana ni wewe ndio hauzingatii unachoandika unaandika ili tu kupinga tu imani ya Mungu, mimi nasoma maelezo yako kwa makini na kuyaelewa.
Shukrani mkuu.Sawa mjadala nawewe umetosha.
YesUlishawahi kusoma au kusikia hadithi za gilgamesh?