What is so special kuhusu kurudisha watoto kayumba hadi mje kudiss shule za English Elementary humu? Mtutajie basi na matumizi mengine mnayobana

What is so special kuhusu kurudisha watoto kayumba hadi mje kudiss shule za English Elementary humu? Mtutajie basi na matumizi mengine mnayobana

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Ndio, tunataka kujua kama mmeamua kuacha kwenda bar kwa maana chupa 2 mbili tu kwa kila siku 364 za mwaka mzima sio chini ya 500,000 kwa mwaka.

Ndio, tunataka kujua kama mmeamua kuacha kuchukua wale mademu wa Telegram kwa maana demu mmoja tuseme 30,000 mara tatu kwa mwezi ni sawa na 90,000 kwa mwezi mzima. 90,000 mara miezi 12 ni sawa na 1,080,000 ya kuruka sarakasi.

Ndio, tunataka kujua kama mmeacha kulipa kifurushi cha mpira cha DSTV kile cha 64,000. 64,000 mara miezi 12 ni sawa na 768,000.

Ndio, kwa vile bando zimepanda bei tunataka kujua kama mmepunguza kuangalia makalio makubwa instagram na porno za x.videos. tuseme kwa siku unataumia 1000. 1000 mara 364 ni sawa 364,000 which may increase pale utakapoopoa kimada anayejifanya model mtandaoni, then unamtumia nauli atoke dar akufate tandahimba.

ACHENI UKUDA, NJAA ZENU NI ZENU.
 
Back
Top Bottom