What should I do?

What should I do?

Nilishawahi kufanya hivyo, kanisani kuna wanaf’ki balaa[emoji706][emoji174]
Kwakua unataka networking ya maisha Unafiki wa mtu au urafik wa dhat SI muhimu,ukumbuke lengo ni wao kuwa kama daraja,ama kivuli Cha wEw kufika mahali Fulani na sio kuwaweka karibu mwshowe utaelewa Nan mkwel Nan muongo,then utachagua wakuwaweka karibu na wengine wanabaki kama supporting system

Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app
 
Hata 90 hawajafika babe, soma vizuri.
Wako wangapi mkuu…

Wewe kuweka hio number means inakaribia na hao lol

Mimi naona tatizo lako liko kny communication skills zaidi, wewe kukaa na simu bila kupigwa hilo ni Tatizo, Hujui to interact na hao marafiki wachache Ulio nao, anza Leo kupiga simu na wewe utapigiwa, ukianza kuinteract na hao marafiki 20 ulionao ndio wataku introduce you kwa marafiki wengine 20 Ila ni juu yako to keep fire burning/ to keep communicating with them
 
Can you all imagine sina hata watu 90 kwenye mzunguko wangu wa maisha.
90??? Mbona ni watu mob sana hao?

Nadhani circle yangu ni ndogo kuliko yako, but Am glad ni very potential...

Yan nikiwahesabu watu wangu wa karibu hawavuki 50 na maisha yako zake yanaenda.

Yan macho huhitaji watu elf 1000 ktk circle yako ndo uone una watu, unaweza kuwa na watu elf 9 na wakawa pale km midoli tu. Ya nn sasa??
 
Marafiki ndio kabisa sina, napitia changamoto nyingi sana sina hata mtu wa kuongea nae au wa kunipa mawazo tofauti ili niweze kuwa sawa kwa kiasi fulani. Simu yangu inaweza isipigwe kwa muda hata wa siku tano😂💔.
Lete namba tukupigie. Simu kutokupigwa sku 5 hiyo ni balaa. Huna BF, huna friend? Unamliliaga nani stress zzako? Huna hata wawili?? Girl unaweza kuwa tatizo, jichunguze.
 
Hellow Guys!
Hope mnaendelea vizuri.

It’s “Ms Eyes” again.
Sorry naombeni ushauri ni kwa namna gani naweza kuongeza idadi ya watu as you all know dunia ya sasa hivi bila connections ni ngumu sana kutoboa na hizo connection huwa zinatoka kwa watu. Can you all imagine sina hata watu 90 kwenye mzunguko wangu wa maisha.

Mimi ni aina ya wale watu ambao napata shida ku interact na watu, ni ngumu sana kumzoea mtu, siwezi kukaa kwenye mkusanyiko wa watu wengi. Mara nyingi huwa nipo ndani haswa kama sina shughuli ya kufanya kwa siku hiyo au wakati huo.

Napata shida sana haswa kwa kipindi hichi ambacho nahitaji kazi, nilijaribu kufanya biashara ya kukopesha lakini sikuiweza kwasababu huwa sipendi kuongea na kugombana na watu, hata hivyo nilikuwa napata wakati mgumu kwasababu sikuwa na watu wengi wa kuwatembezea bidhaa zangu.

Marafiki ndio kabisa sina, napitia changamoto nyingi sana sina hata mtu wa kuongea nae au wa kunipa mawazo tofauti ili niweze kuwa sawa kwa kiasi fulani. Simu yangu inaweza isipigwe kwa muda hata wa siku tano[emoji23][emoji174].


NIKO HAPA KUPOKEA USHAURI WENU WAKUU. Ningependa kupewa majibu positive ili nisiendelee kuvunjika moyo though kuna watu wapo watanijibu negative.

HAPPY ENDING WEEKEND Y’ALL.[emoji7]

Karibuni!

Niongeze ktk circle yako, karibu pm
 
Hellow Guys!
Hope mnaendelea vizuri.

It’s “Ms Eyes” again.
Sorry naombeni ushauri ni kwa namna gani naweza kuongeza idadi ya watu as you all know dunia ya sasa hivi bila connections ni ngumu sana kutoboa na hizo connection huwa zinatoka kwa watu. Can you all imagine sina hata watu 90 kwenye mzunguko wangu wa maisha.

Mimi ni aina ya wale watu ambao napata shida ku interact na watu, ni ngumu sana kumzoea mtu, siwezi kukaa kwenye mkusanyiko wa watu wengi. Mara nyingi huwa nipo ndani haswa kama sina shughuli ya kufanya kwa siku hiyo au wakati huo.

Napata shida sana haswa kwa kipindi hichi ambacho nahitaji kazi, nilijaribu kufanya biashara ya kukopesha lakini sikuiweza kwasababu huwa sipendi kuongea na kugombana na watu, hata hivyo nilikuwa napata wakati mgumu kwasababu sikuwa na watu wengi wa kuwatembezea bidhaa zangu.

Marafiki ndio kabisa sina, napitia changamoto nyingi sana sina hata mtu wa kuongea nae au wa kunipa mawazo tofauti ili niweze kuwa sawa kwa kiasi fulani. Simu yangu inaweza isipigwe kwa muda hata wa siku tano[emoji23][emoji174].


NIKO HAPA KUPOKEA USHAURI WENU WAKUU. Ningependa kupewa majibu positive ili nisiendelee kuvunjika moyo though kuna watu wapo watanijibu negative.

HAPPY ENDING WEEKEND Y’ALL.[emoji7]

Karibuni!
Karibu uwe rafiki yangu
Lolote linalokusibu utakuwa huru kushare na mimi.


Jitahidi kujichanganya kwenye magroup ya biashara ya Facebook
Huko utapata watu.
 
Back
Top Bottom