What's so special about Nairobi?

NAIROBI: Kenya imeunda bus lake la kwanza la umeme na lilianza kufanya kazi ya kubeba abilia mwezi uliopita.

Hapa Tanganyika vipi?.
 
We mbna haya unayoyaongelea mabo ya kawaida sana..
Km kuiba kw wa tz ndio hko basi bado sana..

Hayo ni km marupurupu ya kijanja ili kila moja aishi
 
V
Hii inaonyesha hujawahi fika Nairobi,vumbi mwanzo mwisho ni huko huko matopeni tanganyika shamba la wakulima wa vijembe vya mkononi.
Halafu siku hizi mna viburi nyie sana ilhali Bado sana mpo mpo tu, labda miaka 25 ijayo ndiyo mtaweza fikia hali Kenya iliko Sasa,na hapo Kenya itakua imesonga hatua 100 mbele.
Sijui nani kawadanganya ,sijui ni hiko kijireli Cha ajabu ambacho hakitoweza kukamilika hususan ikumbukwe umeme wenyewe hamna.

Mitanganyoko makelb mahayawan.
 
Nairobi hii ya kibera na mathare unasema haina vumbi
 
Haya ni baadhi ya maene ya nairobi alafu unasema ni nusu ya london
Mda huo huo unatudanganya hakuna vumbi
 

Attachments

  • E6ECFC81-9981-4788-BABA-C32D2C84CA82.jpeg
    71.1 KB · Views: 3
  • A2B5DE5E-837C-4E41-B352-2E9504A5230B.jpeg
    145.1 KB · Views: 3
Nairobi hii au kuna nyingine[emoji23][emoji23]...

Tazama hii video usome na comments za foreigners ambavyo wanakuwa disappointed wakifika Nairobi...


View: https://youtu.be/vio5LVbgj9s?si=7UyUdJxn1UpS0-Ii
 
Shida ya wakenya ni uchafu, kingine ni ujuaji uliopitiliza, ni kweli wazungu walijitahidi kuwajengea ule mji lkn wao wakashindwa kuendeleza kutokana na ujuaji na kutokuwa wazalendo, unakuta barabara inatengenezwa leo we nenda wiki ijayo utakutana na uchafu wa kila aina. Kingine ni wizi, Kenya kila mtu ni mwizi aisee.

Nenda tena kwa ajili ya utalii alafu urudi kutueleza hapa.
 
Twende wote basi
 
Ulishawahi kukanyaga Kigali?
 
Umeongea ukweli. Kenya ubabe mwingi,wizi uchafu but anyway tusisahau na lugha inawabeba kwenye movies nyingi .
12 years slave-lupita nyong'o
 
Mwezi wa Tisa Huu. Uko wapi dada? Ulienda industrial area ukaona umetembea Nairobi? Ama ni zile zenu za 'nimebahatika kufika Nailobi' wakati hata mpakani hujakanyaga.
 
Mwezi wa Tisa Huu. Uko wapi dada? Ulienda industrial area ukaona umetembea Nairobi? Ama ni zile zenu za 'nimebahatika kufika Nailobi' wakati hata mpakani hujakanyaga.
Hahahahahahaha uwiiiii...ulikua wapo kunipopoa tangu zamani... actually nishaenda more than 3 times kuanzia hiyo siku...
Ukweli nimeenda industrial area both times
 

Attachments

  • PXL_20230824_063236553.mp4
    15.7 MB
  • PXL_20230824_063247113.mp4
    7.3 MB
  • VID-20230824-WA0104.mp4
    5.5 MB
Hahahahahahaha uwiiiii...ulikua wapo kunipopoa tangu zamani... actually nishaenda more than 3 times kuanzia hiyo siku...
Ukweli nimeenda industrial area both times
Compare Nairobi's Industrial area with Dar's Industrial area and give us the report.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…