What's your favorite movie line/quote?

What's your favorite movie line/quote?

1. “ Gentlemen, My name is Pablo Emilio Escobar Gaviria and one day i will be the President of Colombia “

[emoji1426]I love that scene wit passion Pablo Escobar alivyo intimidate mapolisi wa Medellin kwenye boarder.


2. “ You have never invited me to your home for a cup of coffee and now you come to me and say Don Corleone give me justice. But you don’t ask with Respect, You dont even think to call me Godfather “

Don Corleone, The Godfather.

[emoji1426]This movie teaches a lot in street smartness mostly in business and namna kuishi na watu vizuri kutakufikisha mbali.
very true mkuu hz muvie za madrug dealer walivokua wanafanikiwa ni coz ya kuishbna watu vzr
 
Hahaa umenkumbusha huyu jamaa
MCHIZI NI NOWMA
images
 
very true mkuu hz muvie za madrug dealer walivokua wanafanikiwa ni coz ya kuishbna watu vzr

Now im not saying drug dealing or any other crime is a nice thing.

Ila ukiangalia utanote kitu kimoja from these people ni watu flan waelewa sana na wana nidhamu ya watu mnoooo. And always wanakua watu wa win/win moves kwamba kila mmoja kwa nafasi yake apige hela sasa from a business perception there is a lot to learn (negotiation skills)

Pablo Escobar pale hakutaka kuwadhuru alitumia his street smartness kuwafanya wawe in his team hata kama wao walikua hawataki.

The Godfather teaches one to pick his/her battles wisely sio kila biz unasikia inalipa unajifanyia tu.
 
"Yippee Kayay, Motherfucker(s)" - John McClane in the Die Hard Movies
 
"The story that we have been a part of...........will live long in the minds of men" MERLIN
 
“ you giving me $ 20,000 who u think i am ?? A beggar ?? “

“ I am the captain now “

[emoji1426]Captain Phillips : Haramia aliiteka meli ya wamarekani akawa anataka mpunga wa ajabu. Movie kali kichz.
 
Back
Top Bottom