Nilikuwa natongoza kajukuu kapya nashangaa hakanijibu nikituma msg naona haziendi. Nikadhani kamenibloku asee...We babu achana na mambo ya wasap na. Fesibuku, wapigie hadithi wajukuu kabla hawajalala, ebooooo
Kwa Hizi Kelele za Kulilia WhatsApp Inaonekana Watanzania Wengi Kipaumbele Chao ni Mitandao Na Wala Sio Katiba Mpya [emoji23][emoji23]Hili tatizo la WhatsApp, Facebook na Instagram kushut down kwa Mda wa lisaa hadi sasa litawahathiri sana wafanyabiashara wa Online
Hadi sasa haijafahamika tatizo aswaa la mitandao hiyo kuzimwa duniani kote ni nini
Kuna watu wamereset hadi simu wakijua maybe ni Network au cm imearibika ila laaa hashaa Apps zote zimeshut down
Wale wategemea hizi apps kufanya Biashara zao au kutangaza kazi zao basi litawahathiri kwa mda
[emoji1621]Hii inatukumbusha kwamba tusitegemee mitandao tu mda wowote inaweza kuzimwa na ukabaki huna cha kufanya kwenye biashara yako
[emoji1621]Ebu jiulize wakishutdown mwezi mzima hizi apps hali ya maisha na kiuchumi itakuwaje kwa wale wategemea mitandao hiyo kutangaza biashara zao na kujitangaza kupitia mitandao hiyo
[emoji599] Update Facebook, WhatsApp and Instagram wamecomfirm kwamba mitandao imeshut down kwa mda kutokana na Matengenezo na kuboresha apps hizo ndani mda mfupi kuanzia sasa zinarudi
Naunga mkono hojaWe babu achana na mambo ya wasap na. Fesibuku, wapigie hadithi wajukuu kabla hawajalala, ebooooo
Lakini mpaka muda huu bado halijatatuliwa☹Tatizo limeanza saa moja kasoro
Hehehe kale kagrupu ketu naona wajumbe wanarudi JF kwa amani na upendo...Ahsante
Alafu hata sikuwaza hilo.
Vile information nyingi hasa za kazini tunapata via wasap group nikajikuta na concentrate huko yaani
Kuzimika kwa mitandao kunatukumbusha jinsi wanadamu wa sasa walivyo wa pweke, mtu kazungukwa na watu lukuki , hawezi kuongea nao hata kwa dakik 10 , lakini muda wote yupo ku interact na strangers mitandaoniHili tatizo la WhatsApp, Facebook na Instagram kushut down kwa Mda wa lisaa hadi sasa litawahathiri sana wafanyabiashara wa Online
Hadi sasa haijafahamika tatizo aswaa la mitandao hiyo kuzimwa duniani kote ni nini
Kuna watu wamereset hadi simu wakijua maybe ni Network au cm imearibika ila laaa hashaa Apps zote zimeshut down
Wale wategemea hizi apps kufanya Biashara zao au kutangaza kazi zao basi litawahathiri kwa mda
[emoji1621]Hii inatukumbusha kwamba tusitegemee mitandao tu mda wowote inaweza kuzimwa na ukabaki huna cha kufanya kwenye biashara yako
[emoji1621]Ebu jiulize wakishutdown mwezi mzima hizi apps hali ya maisha na kiuchumi itakuwaje kwa wale wategemea mitandao hiyo kutangaza biashara zao na kujitangaza kupitia mitandao hiyo
[emoji599] Update Facebook, WhatsApp and Instagram wamecomfirm kwamba mitandao imeshut down kwa mda kutokana na Matengenezo na kuboresha apps hizo ndani mda mfupi kuanzia sasa zinarudi
Serikali hairuhusu matumizi ya xvideosDuh mb zetu itabidi ziende kwenye xvideo ,tusipate hasara
Una shida ww.Bora,hata haya masimu yasitishwe turudi kwenye barua kama zamani
Tunaangalia kwa kutumia VPN,easySerikali hairuhusu matumizi ya xvideos
Apo ndo utajua America Ni superpowerHili tatizo la WhatsApp, Facebook na Instagram kushut down kwa Mda wa lisaa hadi sasa litawahathiri sana wafanyabiashara wa Online
Hadi sasa haijafahamika tatizo aswaa la mitandao hiyo kuzimwa duniani kote ni nini
Kuna watu wamereset hadi simu wakijua maybe ni Network au cm imearibika ila laaa hashaa Apps zote zimeshut down
Wale wategemea hizi apps kufanya Biashara zao au kutangaza kazi zao basi litawahathiri kwa mda
[emoji1621]Hii inatukumbusha kwamba tusitegemee mitandao tu mda wowote inaweza kuzimwa na ukabaki huna cha kufanya kwenye biashara yako
[emoji1621]Ebu jiulize wakishutdown mwezi mzima hizi apps hali ya maisha na kiuchumi itakuwaje kwa wale wategemea mitandao hiyo kutangaza biashara zao na kujitangaza kupitia mitandao hiyo
[emoji599] Update Facebook, WhatsApp and Instagram wamecomfirm kwamba mitandao imeshut down kwa mda kutokana na Matengenezo na kuboresha apps hizo ndani mda mfupi kuanzia sasa zinarudi
Matumizi ya Vpn hayaruhusiwi kisheriaTunaangalia kwa kutumia VPN,easy
tupo telegram kwa raha zetuHili tatizo la WhatsApp, Facebook na Instagram kushut down kwa Mda wa lisaa hadi sasa litawahathiri sana wafanyabiashara wa Online
Hadi sasa haijafahamika tatizo aswaa la mitandao hiyo kuzimwa duniani kote ni nini
Kuna watu wamereset hadi simu wakijua maybe ni Network au cm imearibika ila laaa hashaa Apps zote zimeshut down
Wale wategemea hizi apps kufanya Biashara zao au kutangaza kazi zao basi litawahathiri kwa mda
[emoji1621]Hii inatukumbusha kwamba tusitegemee mitandao tu mda wowote inaweza kuzimwa na ukabaki huna cha kufanya kwenye biashara yako
[emoji1621]Ebu jiulize wakishutdown mwezi mzima hizi apps hali ya maisha na kiuchumi itakuwaje kwa wale wategemea mitandao hiyo kutangaza biashara zao na kujitangaza kupitia mitandao hiyo
[emoji599] Update Facebook, WhatsApp and Instagram wamecomfirm kwamba mitandao imeshut down kwa mda kutokana na Matengenezo na kuboresha apps hizo ndani mda mfupi kuanzia sasa zinarudi