OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
chai yako haina tangawizi,bundle na network wapi na wapiNimeunga bundle mara 10 dadek[emoji35]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chai yako haina tangawizi,bundle na network wapi na wapiNimeunga bundle mara 10 dadek[emoji35]
WhatsApp na Instagram zinamilikiwa na Facebook.Na WhatsApp je?!! Mkoa niliopo hata WhatsApp ngoma haifanyi kazi tangu saa 12 unusu!!
Nimejaribu kutumia laini zangu za kampuni 3 tofauti na zote zimegoma!!
Ila JF kama hivi mwendo mswano
njoo telegraamWakuu naona mitandao tajwa hapo juu kwangu imegoma tangu mida ya saa 12 na dakk 40 jioni, awali nilifikiri ni tatizo la network ila naona youtube inapiga kazi km kawaida, vipi kwako?
Mibongo mnapenda kuishi kwa kujishuku shuku muda woteHabari za usiku wadau?!!
Mkoa niliopo hakuna mawasiliano ya WhatsApp, Instagram na social network zote maarufu,hii imetokea tangu saa 12 na nusu!!!
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka kua miezi kadhaa iliyopita serikali kupitia TCRA ilizima na kuzuaia websites zote za kikubwa ambazo huonyesha maudhui ya ngono na hadi leo hawajatoa tamko,je wamehamia na kwenye social network?!!
Hawana huo uwezo...ni wamiliki wenyewe wana hitilafu...ingia ktk browser itapata taarifa kuwa wana hitilafu wao...Habari za usiku wadau?!!
Mkoa niliopo hakuna mawasiliano ya WhatsApp, Instagram na social network zote maarufu,hii imetokea tangu saa 12 na nusu!!!
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka kua miezi kadhaa iliyopita serikali kupitia TCRA ilizima na kuzuaia websites zote za kikubwa ambazo huonyesha maudhui ya ngono na hadi leo hawajatoa tamko,je wamehamia na kwenye social network?!!
Hahaa,Wadada wataugua.
Bora,hata haya masimu yasitishwe turudi kwenye barua kama zamani
Wapi RussiaWapi yaan Marekani akiamua kuisimamisha dunia apitie hapo fb, watsapp na Instagram azime ATA siku moja tu(24hrs)
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Alooo noma sanaPole mkuu
Mwenye hiyo taulo nyeupe hapo kwenye profaili ni wewe mkuu?WhatsApp kwangu iko vizuri kabiss
Sio kweliWhatsApp kwangu iko vizuri kabiss
Matumizi ya Vpn hayaruhusiwi kisheria
Inahusiana na nin hiyo appNenda playstore tafuta app ya clubhouse, hiyo app ni nzuri zilizobaki zinasubiri.
Hii ni app ya kukata nondo kwa kuongea, inafanana na zile spaces za Maria kwenye twitter
Watetezi wa wachina watuletee mitandao ya huko tuanze kujimwayamwaya
Shukrani,Mkuu kwenye website za pilau wameweza!!Hawana huo uwezo...ni wamiliki wenyewe wana hitilafu...ingia ktk browser itapata taarifa kuwa wana hitilafu wao...
Na apo wametushika bila kutugusa[emoji28][emoji28][emoji23]
tupo telegram kwa raha zetu