WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

App zote kuanzia web apps kuna muda huwa lazima ufanye technical maintenance na sometimes ni procedures za kufix security as well performance bugs..

Wako sahihi....
 
'''

IMG_20211004_204724_320.jpg
 
Watenganishe hizi vitu
Yaani zimegoma zote kwa pamoja fb, ig, watsup
 
Ni kweli, hili ni tatizo la kampuni moja kumiliki hizi app kuu. But nimeona viongozi wa marekani wanakuna vichwa ku-regulate giant tech companies. Na hili tukio ndio lita-propel vizuri nia yao. Wengi hatujui hii fact kwamba ukipewa product for free basi ujuwe wewe ndiyo product. Facebook, Whatapp, na Instagram, etc.... sisi ndiyo product.
Free? Sisi wafanya biashara tunalipia , nyinyi wateja wetu mnatumia bure ,wao wanatupa access ya kukutana na nyie kwa kulipia
 
Habari za usiku wadau?!!

Mkoa niliopo hakuna mawasiliano ya WhatsApp, Instagram na social network zote maarufu,hii imetokea tangu saa 12 na nusu!!!

Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka kua miezi kadhaa iliyopita serikali kupitia TCRA ilizima na kuzuaia websites zote za kikubwa ambazo huonyesha maudhui ya ngono na hadi leo hawajatoa tamko,je wamehamia na kwenye social network?!!
Nchi ndiyo itakosa pesa tulio wapa dhamana siyo wote wenye uwezo wa kufikiri ulio kamilika
 
W
Shukrani,Mkuu kwenye website za pilau wameweza!!
Website za pilau wameweza kiasi ila wameblock common names kama porn, x, etc ila ukiandika jina la actress kisha option zikija unachagua zile ambazo hazina hizo common names inapeta bado...
Web za pilau ziko nyingi sana hawawezi ziblock zote...
Unaweza kuta sitw inaitwa mamasam.com ukiingia balaa...
 
Back
Top Bottom