Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahaaaaa!!! We jamaa umeamua tu kurefusha maisha yetu. Acha bana, maisha yenyewe magumu haya.Facebook, WhatsApp na Instagram hazifanyi kazi.. Mmeona sasa umuhimu wa Katiba mpya! Nawaeleza kila siku hapa!
Facebook, WhatsApp na Instagram hazifanyi kazi.. Mmeona sasa umuhimu wa Katiba mpya! Nawaeleza kila siku hapa!
Huyo mwanao mjengee sanamu asee... mo nimerestart mpaka simu imeisha chargeKila nikituma msg haziendi nikiwa bado nahangaika nikazima wapi
Bahati mwanangu akanipigia na kuniambia Baba unahangaika na mtandao?
Nikamwambia umejuaje [emoji23][emoji23] akaniambia ni dunia nzima daa
Hahahahha!ila JF ina mambo yake ya kitofaut sanaaaNimefuta pilau nikijua storage
View attachment 1962921Hapa ndo naungana na wasema ukweli hakuna jaribio la serikali kuzima mtandao bali ni Dunia nzima hata ambao hawako Tz they experience the same problem
View attachment 1962924
Kwa mujibu wa intelijensia yangu nimepata taarifa kuwa kuna mtu kaingia kalewa ofisini kakojolea servers!,mkojo wake una madini chuma na nuclear power halafu na protein so wanashughulikia vyote viwili..[emoji28]
Karibu the home of great thinker..😁Hahahahha!ila JF ina mambo yake ya kitofaut sanaaa
Unaweza waita Pingapinga F.c Au Nongwanongwa fcView attachment 1962921Hapa ndo naungana na wasema ukweli hakuna jaribio la serikali kuzima mtandao bali ni Dunia nzima hata ambao hawako Tz they experience the same problem
View attachment 1962924
WhatsApp kwangu iko vizuri kabiss
Hata mimi huku,nilifikiri labda kwakuwa niko sweken...Au tatizo hili ninalo mimi tu?