Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Tanesco hawahusiki jamani kweny hii ishu Tulieni bwana Marc awanyooshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii yetu siyo maarufu!!?WhatsApp, Instagram na social network zote maarufu
We acha tu kuzipata mpk VPN!..Pilau limemwagika Hahahhh,Marc ajiandae kupokea lugha za hovyo
Kwanini kisa what app kuwa down?Hii nchi viongozi wana kanyagwa sana, wamegeuza nchi ya watu wachache kukaa kujiamulia kutupelekesha wanavyotaka.
kwendraaMarc Andre Ter Stegen au Nani?
WhatsApp unachat na nani eti babe maana si kwa kuchanganikiwa hukuKipenzi umenichekesha kama mwehu. Luv u more
Hii addiction mbaya sana. Masaa mawili tu watu wamechoka.Yaani kamuokoa Daddy kwa kweli
Ana zawadi yake kwa kweli
Ila na wewe pole
Nilihangaika kwa mda ndio akanishtua Abarikiwe sana
Poleni sana, itabidi mvumilie maana RISK ni kubwa zaidi!!!Kinachouma zaid n sisi baadhi yetu ambao kipato chetu kinategemea hii mitandao
Nitakucheki......"TUNAUZA NG'OMBE TUPO ARUSHA SING'ISI TENGERU"
BIASHARA ZETU NI ZA ANA KWA ANA NA SIYO MTANDAONI. LAZIMA MTEJA AFIKE OFISINI NA SHAMBANI
(1) Tunao mitamba ambao hawajapandwa ila waweza pandwa muda wowote.
Bei ni kuanzia Tsh 1200000 hadi 1650000 inategemea na mtamba mwenyewe.
(2) Pia mtamba mwenye mimba kuanzia miezi mitatu (3) hadi miezi sita (6) ni Tsh 1500000 hadi 1800000.
(3) Pia tunao ng'ombe walio zaa mara moja mara mbili na mara tatu ambao wanakamuliwa maziwa kuanizia liter 16 adi 22 inategemea na ng'ombe mwenyewe bei zao ni kuanizia Tsh 1700000 hadi 2000000.
(4) Na pia kwa wale wanao itaji ndama madume pamoja na majike wanapatikana kuanzia umri wa miezi minne adi sita kwa bei kuanzia Tsh 650000 hadi 850000.
KAMA KAMPUNI GARAMA ZA USAFIRISHAJI KWA KIWANGO NA MTEJA KUTEGEMEA NA ENEO ALILOPO KARIBU SANA UPATE NG'OMBE WAZURI KWA UZALISHAJI
Wasiliana nasi kwa simu kwa namba
0759926750
Habari za usiku wadau?!!
Mkoa niliopo hakuna mawasiliano ya WhatsApp, Instagram na social network zote maarufu,hii imetokea tangu saa 12 na nusu!!!
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka kua miezi kadhaa iliyopita serikali kupitia TCRA ilizima na kuzuaia websites zote za kikubwa ambazo huonyesha maudhui ya ngono na hadi leo hawajatoa tamko,je wamehamia na kwenye social network?!!
Hawa ni ma IT uchwaraa wa TanzaniaHabari za usiku wadau?!!
Mkoa niliopo hakuna mawasiliano ya WhatsApp, Instagram na social network zote maarufu,hii imetokea tangu saa 12 na nusu!!!
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo mtakumbuka kua miezi kadhaa iliyopita serikali kupitia TCRA ilizima na kuzuaia websites zote za kikubwa ambazo huonyesha maudhui ya ngono na hadi leo hawajatoa tamko,je wamehamia na kwenye social network?!!
Na wajukuu kipenzi. Si unajua vyuo vinakaribia kufunguliwa? Lazima nijipange mambo ya adaWhatsApp unachat na nani eti babe maana si kwa kuchanganikiwa huku
Afadhali isirudi kabisa maana ulikuwa unapata mda wa kuchatika na mchepukoNa wajukuu kipenzi. Si unajua vyuo vinakaribia kufunguliwa? Lazima nijipange mambo ya ada
Hapana sithubutu. Ushasahau limbwata nilikuletea mwenyewe?Afadhali isirudi kabisa maana ulikuwa unapata mda wa kuchatika na mchepuko