Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
hahahaKwa ubishi wao wapo wanaohangaika kuendelea ku post kwenye Whatsapp...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaKwa ubishi wao wapo wanaohangaika kuendelea ku post kwenye Whatsapp...
Mitano tena kwa mama. Watake wasitakeKatiba mpya inahitajika
Fb, insta na watsupTatizo gani la dunia
Yaani Zari atakuwa anajiharishia huko.Mtu kama Diamond akinyang’anywa akaunti yake ya IG na YT ndani ya mwaka anapotea kwenye ramani, hii mitandao imekuwa muhimu sana hasa kwa wasanii
KiajeAkae vizur whatsap GB, juz waliishusha gb, leo inakula kwao. Naona kama kisasi
Itafsiri kwa kiswahiliSasa nikerebishe kwa kiswahili au kwa kingereza?
Mimi nimeunga bando la internet nikijua limeisha[emoji2362], naingia WhatsApp wapi!
Sasa Magu kaingiaje APA,!?
Itachukua siku 4 kurudibado tu hawajarudisha?
Mbona Mimi ipo na ilikuwepoHili hapa
View attachment 1963063
Mimi Huyo kabithaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikahisi labda internet problem,.nikawasha na VPN.
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Mbona Mimi ipo na ilikuwepo
Sisi wa vpn inakuaje?Tupo telegram tunaamsha popo kama kawaida