WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

Tatizo gani la dunia
Hili hapa
Screenshot_20211004-222946.jpg
 
Nahangaika na VPN huku mie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii iwafungue macho Serikali waache kutegemea mitandao ya simu kukusanya kodi. Hivi vitu vinafeli muda wowote. Serikeli itegemee na kutumia miundombinu iliyoanzishwa na serekali na kudhibitiwa na serekali. Siyo kudandia dandia. Toka saa 12 jioni mpaka sasa serikali ingekuwa imepoteza kiasi gani cha tozo za Insta???
 
Back
Top Bottom