WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

Nahangaika na VPN huku mie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii iwafungue macho Serikali waache kutegemea mitandao ya simu kukusanya kodi. Hivi vitu vinafeli muda wowote. Serikeli itegemee na kutumia miundombinu iliyoanzishwa na serekali na kudhibitiwa na serekali. Siyo kudandia dandia. Toka saa 12 jioni mpaka sasa serikali ingekuwa imepoteza kiasi gani cha tozo za Insta???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…