supercharger GT
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,017
- 1,965
AsanteHaya mkuu kila la heri
Mkuu ni kazuri sana, ila kanasema kanaogopa coz mimi ni Boss wakeKwahiyo?!
Kwa hiyo unataka nipige pull au?[emoji23][emoji23]boss
acha kutongoza watoto
Nmedelete zangu tu sio zake, nlilkuwa namtext kwa ahadi za uongo uongo sanaHizo deleted nahisi ulitukanwa mkuu y deleted
Nahisi naweza mpenda mazima, usinicheke mkuu...maana dalili niliziona kwake nkaona leo niweke udomo zege pembeniAhahhahahh
Hii ndo yenyeweKuna feature nyingine mpya ya whatsapp ukidelete chat kuna option ya kudelete na media zote alizokutumia na kwenye gallery zinadisapear
Mweeeh.....mimi sio poti mkuuSasa poti yani ndio umemutongoza yule kopulo,,? Kweli kabisa poti..!!