Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Wewe una utoto mwingi, kuna vitu ukivichukulia kawaida wala havitokuumiza.!!Vipi kuhusu wale message received yani tiki mbili ila haisomi na yupo online? unamchukuliaje mtu wa hivyo.
Mtu km hakujibu muache, labda km unamdai sawa.!!
Kwanza kwann utafute wa kuchat nao maongezi yasiyoisha?? Hamna kazi za kufanya??