supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
NANI BINGWA WA KUSAHAU?
1: Aliyekuwa anasafiri alipofika stendi akasahau anakwenda wapi.
2: Aliyeingia hotelini baada ya kukaa akasahau kama amekula au la.
3: yule mwanafunzi aliyefika shule akasahau anasoma darasa la ngapi.
5: Mchezaji aliyeingia
uwanjani baada ya mpira kuanza akasahau anachezea team gani.
5: Bibi harusi aliyeambiwa na Mc amtafute bwana wake ukumbini ili amtambulishe akawa amemsahau[emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]
1: Aliyekuwa anasafiri alipofika stendi akasahau anakwenda wapi.
2: Aliyeingia hotelini baada ya kukaa akasahau kama amekula au la.
3: yule mwanafunzi aliyefika shule akasahau anasoma darasa la ngapi.
5: Mchezaji aliyeingia
uwanjani baada ya mpira kuanza akasahau anachezea team gani.
5: Bibi harusi aliyeambiwa na Mc amtafute bwana wake ukumbini ili amtambulishe akawa amemsahau[emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]